Nimeachana na mke wangu leo

Nimeachana na mke wangu leo

Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Soma mathayo 19:1-9,marko10:1-10,kama ukimwacha ukaoa mwingine unazini, utamkosea Mungu na huenda ukafia dhambin na usipate nafasi ya kutubu na kuuona uzima wa milele!!!,hayo ni mambo ya kuvumilia tu,mwombe Kristo Yesu akupatie neema ya kumvunilia mwenza wako!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom