Nimeachana na mke wangu leo

Nimeachana na mke wangu leo

Nitumie hiyo namba yake basi, mwekezaji asiyeogopa risk, bingwa wa vyuma chakavu
 
Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Mwanamke mzuri akishakuona muoaji na unavigezo vyake baada ndoa ni full kupambana na hali yako mwanaume utajua hadiiii ambayo hukuwahi kuyatafakari anayo!
 
Mtoa mada mngekaa mkaelekezana tu. Mimi nikikosea my king ananielekeza my queen mambo hayaendi hivo mke wangu hapo umekosea sana nami namsikiliza namuelewa na kujishusha pia nakiri kukosa na kuomba radhi


mahondaw wa Smart911
My queen inawezekana wanaelekezana...

Lakini...
Binadamu ni wabishi sana...
 
Kuna memba humu namfahamu alimfukuza mke ake kwa maneno yanayouma sana. Alimwambia 'kwanza we hunigeged vZr kama x wangu'. Seriously waliachana mpk sasa hawakai pamoja.

Jamaa aliumia sanaaaa sikien kwa watu tu
Huyu nae alivuka mpaka !! Wakati mwingine kugegedana kunaitaji ushirikiano. !! kama anafurahi cha " x " si akaolewe nae...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nineachana na mke wangu leo sababu kubwa mkewangu haniheshimu wala hanisikilizi kabisa
Weka na namba yake ya simu hapa!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom