Nimeachana na mke wangu leo

Nimeachana na mke wangu leo

Mie nadhani ungekuja hapa na malalamiko, kwamba hakusikilizi wala hakuheshimu ili tukushauri namna ya kumaliza tatizo.
Sasa ndugu unakuja tuu na bango la talaka sasa tusemeje ??
" basi sawa" toa namba yaje hapa tuwasiliane naye. Kama kweli umemwacha. Kuna watu humu wanataka kuoa, huyo atafaa sana maana ana experience.
 
Dah! Umasikini mbaya sana. Ungekuwa na pesa mfukoni, angekuheshimu vya kutosha. Yani ukikohoa anakuja mbio, 'Umeniita'?
 
Fukuza tu. Kwani shingap bn

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Hicho tu. Kama uliridhika na tabia hizo tangia mwanzo ulitegemea nini. Jifunze kuzungumza na mkeo pasi kuwa na maamuzi ya haraka haraka kiasi hicho.

Hakuna binadamu mkamilifu we pia una mapungufu yako na alikuwa anayavumilia.

Utaacha wangapi dunia ya leo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom