Nimeachana na mke wangu leo

Nimeachana na mke wangu leo

We we ulikuwa unamheshimu? Na anajua kuwa unamheshimu?

Mini kilichokufanya uone kuwa hakuheshimu?
Unajua tabia za baadhi ya makabila?
 
Kwa muda gan imeanza hvo? Na uliwah kuja hapa kuomba ushaur wakat ameanza kufanya hzo mambo? Au umekuja hapa kutujulisha tuu, na kwa dhamira gani? Maisha ya mke na mume ni mtihani mkubwa sana Upendo, uvumilivu, heshima mkifundishana pia, mwanamke ni wa kukaa nae kwa akili kama ambavyo maandiko matakatifu yanavyosema, tatizo watu maandiko ambayo ndo muongozo wetu ktk sayar hii hawayajui, na kwasababu hawayasomi au kuyasikia na kuyatilia maanani, kila kitu kinaelezeka, ila kikubwa pia usipokabidhi Ndoa yako ktk madhabahu ya Mungu bhas kaa ukijua ndoa yako inanyemelewa au ipo kabisa ktk maadhababhu ya shetan, tangu lini shetan akafurahia watu wawe na mahusiano mazur, ndoa za kudumu, waweza kuwa unaoa unaacha tuu ila ni kwasababu Mungu hayupo upande wako, hvo silaha na makombora ya shetan kwako yakiandaliwa tuu hata kabla ya kuwa initiated wewe chaliiiiii.....Mungu awape hekima na maarifa ktk kufahamu maneno yake yenye muongozo wa kila kitu, otherwise tutakosa hekima na skills za namna ya kuishi na wenzetu tukaishia kuumizana tuu hapa duniani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na usilalamike zaidi Mungu anasema muulize yeye, so ulipaswa kumuuliza kabla hujafanya hayo maamuzi, Mungu atakuambia kwann yanatokea hvo, watu wanahisi kama tunaongea sanaa tuu lkn ndivyo ilivyo, lkn kuna mazingira ya kumuuliza Mungu na akakujibu, Mungu haulizwi tuu from no where akakupa majibu, ni kama ninavyokuwa naona thread mbalmbal hum mara jinsi ya kuita majini na kuongea nayo mara vp...kuna taratibu, huo ni utawala wa shetan ambyo ni mambo yasiyoonekana..lkn utaratib wa Mungu pia upo, Muulize Mungu kwann umeachana na mkeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyota na in'gaeee kwako eeeeh

Nakuombeaaa
Kesha usiku na mchana ukiombaaa
 
Shetani keshaharibu tena,hizi ndoa jamani tumshirikishe Mungu kabla ya kufunga na tunapokuwa kwenye ndoa,ukikaa mbali naye ujuwe kabisa shetani atakuharibia,kwani hiyo sakramenti shetani anaipiga vita balaa..
 
Mbona yako nimadogo ,,Mimi wangu nilimfuma miaka kadhaa ilopita lkn mpaka sasa nipo naye na kanizalia watoto wazuri nawenye afya . sembuse we kutokukuheshimu tu suala ambalo unapaswa umpigishe shule ????? .
Wewe si uliniambia hujaoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom