Nimeacha drama rasmi

Nimeacha drama rasmi

Huyo alipo surrender siku ya leo, ndo nikajua kumbe kuharibu watu kisaikolojia sio jambo jema.
Wewe makalio yani mimi nime surrender kwa debe tupu kama wewe?
Wewe nilikutahadharisha kitambo sana ila hukusikia,sasa ukae ujue kua ukikosa adabu utakutana na mimi ambaye ni dawa ya wadudu wanaruka na wanao tambaa,

Hii sio mara yako ya kwanza kuanzisha uzi kama huu,hata baada ya kupigwa ile Ban ulikuja na ngonjera eti umebadilika,unashindwa kutambua kua Kichaa haponi bali hupata nafuu tu,

Nilikwambia kua watu hua hawajisifu bali husifiwa,ukakaza fuvu,leo hii ndio umejua sio? Wewe huwezi kubadilika,maisha yako ya sasa ni matokeo ya malezi uliyo yapitia.
 
Wewe makalio yani mimi ni surrender kwa debe tupu kama wewe?
Wewe nilikutahadharisha kitambo sana ila hukusikia,sasa ukae ujue kua ukikosa adabu utakutana na mimi ambaye ni dawa ya wadudu wanaruka na wanao tambaa,

Hii sio mara yako ya kwanza kuanzisha uzi kama huu,hata baada ya kupigwa ile Ban ulikuja na ngonjera eti umebadilika,unashindwa kutambua kua Kichaa haponi bali hupata nafuu tu,

Nilikwambia kua watu hua hawajisifu bali husifiwa,ukakaza fuvu,leo hii ndio umejua sio? Wewe huwezi kubadilika,maisha yako ya sasa ni matokeo ya malezi uliyo yapitia.
🙏
 
Maliza ujinga wako hapa hapa usije kuzeeka ukawa wa kutumiwa kwenye mifano mibaya tu.
kwani kipindi anaacha utoto alisema now nimeacha utoto inakujaga tu unajikuta umeacha mara zote kitu kinachokadamizwa ndo huwa kinapata nguvu
Ukijisikia kufanya ujinga kama huvunji sheria fanya
 
Wewe huwezi kubadilika,hii sio mara yako ya kwanza kusema unabadilika,mabadiliko ya kweli hua hayatangazwi bali matokeo yake ndio huonekana na kuleta majibu,


Hapa pia ulisema umebadilika,
JF VAR CHECK

JF VAR CHECK
 
Wewe huwezi kubadilika,hii sio mara yako ya kwanza kusema unabadilika,mabadiliko ya kweli hua hayatangazwi bali matokeo yake ndio huonekana na kuleta majibu,


Hapa pia ulisema umebadilika,
JF VAR CHECK
Ni sawa pia
 

It's time to be the big brother..

Poleni sana kwa wale wote nilio wakwaza... Kuna watu mpaka wameniweka ignore list kisa majibizano ya hapa na pale..

Binafsi ni mtu ninayependa sana battle, ila umefika muda sasa wa kuanza kuonesha am more than that,

to all those people who try to spark a war with me.Trust me, Nime badilika sasa, I'll never engage with y'all. Ni muda wa kuwa constructive pekee... Nimegundua kuwa greatness doesn't seek approval

One good habit, is knowing how to humble yourself... Because a man isn't respected by their words, but their actions.
One good habit, is knowing how to humble yourself... Because a man isn't respected by their words, but their actions.✔‼💪🏿
 
Back
Top Bottom