Nimeacha drama rasmi

Nimeacha drama rasmi

Mzee wa VAR The Icebreaker kijana katubu huku naona upper cut chemba kidevu zimemlemea 🤣🤣

I don't want peace, I want problems
1000143332.jpg
 
Popote ukiona battle nishtue mtu wangu

Na ninavyomjua mtoa mada siku si nyingi atarudi kwenye batle kwasababu si mara ya kwanza kuahidi anabadilikq lkn mwisho wa siku anakiuka kauli zake
We usijali mkuu, nikiona hakuna wanaobattle basi Mimi mwenyewe naingia kazini kubattle na mpenda fujo yeyote humu.

Nina uzoefu mkubwa sana katika kurusha makombora ya kibalistiki.
 
Back
Top Bottom