Mzee wa VAR The Icebreaker kijana katubu huku naona upper cut chemba kidevu zimemlemea 🤣🤣
I don't want peace, I want problems
Mzee wa VAR The Icebreaker kijana katubu huku naona upper cut chemba kidevu zimemlemea 🤣🤣
I don't want peace, I want problems
Sijapenda kwakweliKwamba burudani mliyotupa asubuhi hatutaishuhudia tena?!
Wala haijakaa sawa.
JF bila watu kurushiana ballistics inakuwa imepoa kimtindo 😅Sijapenda kwakweli
Popote ukiona battle nishtue mtu wanguJF bila watu kurushiana ballistics inakuwa imepoa kimtindo 😅
We usijali mkuu, nikiona hakuna wanaobattle basi Mimi mwenyewe naingia kazini kubattle na mpenda fujo yeyote humu.Popote ukiona battle nishtue mtu wangu
Na ninavyomjua mtoa mada siku si nyingi atarudi kwenye batle kwasababu si mara ya kwanza kuahidi anabadilikq lkn mwisho wa siku anakiuka kauli zake