PoleKatika hali ya kutatanisha nilijikuta nimefall inlove na mwana JF mwenzangu. Tulianza kimzaha lakini baadae kizaha zaha! Radi HUPIGA mara moja.
Bahati mbaya shetani aliingilia kati na kuzua taharuki kwenye mahusiano yetu! Nitampata wapi huyu binti JF kaishajitoa na mpaka namba za simu kabadilisha! Ni pale unapomkosa mtu katika maisha yako ndio unatambua umuhimu wake.
My future wife please rudi.
Asante kushkuruPole sana.
Asantepole
Kama mamtoni,kama mambelee😁😁 unyama sana
😎Ajitoe KWA sababu YAKO sio kweli Jaman![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
No lie she said she never seen a guy like me before😎😎Ajitoe KWA sababu YAKO sio kweli Jaman![]()
Na ukaamini?😂no lie she said she never seen a guy like me before😎😎
Kila la kheri la hilo 😎wapo wengi ..!😀Ngoja intelijensia ikae mkao, ni mwanamke gani alikuwa active kisha kapotea![]()
NDIO.Hakuna sababu ya kuacha kuamini!😎Na ukaamini?😂
Ndivyo ulivyo danganywa hivyono lie she said she never seen a guy like me before😎😎


masikin weee


Usiseme kajitoa JF, unadhani addiction ya JF ni ndogo namna hiyo?
Hapo kabadili ID....uzi wako huu utamfikia
Pole




dea nimecheka mno, addiction km addiction uwiiiiiiihHadi mchuchu kufanya hivyo, kuna dalili za kuwa ama kwenye serious relationship nyingine au kaolewa kabisa...




ngumu kumeza hii lol