The National Institutes of Technology (NITs) are autonomous public institutes of higher education, located in India. They are governed by the National Institutes of Technology Act, 2007, which declared them as institutions of national importance alongside Indian Institutes of Technology. These institutes of national importance receive special recognition from the Government of India. The NIT Council is the supreme governing body of India's National Institutes of Technology (NIT) system and all 31 NITs are funded by the Government of India. These institutes are among the top-ranked engineering colleges in India and have one of the lowest acceptance rates for engineering institutes, of around 2 to 3 per cent, second only to the Indian Institutes of Technology (IITs) in India. All NITs are autonomous which enables them to set up their own curriculum. The language of instruction is English at all these institutes. As of 2019, the total number of seats for undergraduate programs was 21,133 and for postgraduate programs 8,050, in all the 31 NITs put together.
Wadau mwaka jana nilimsaidia mtu kuomba chuo diploma. Alikuwa amechelewa hivyo katika kutafuta nikapata NIT wako na second round application, nikamuombea hapo sasa mpaka leo akaunti yake inasema "application submitted keep visiting for updates".
Anahisi sijamuombea mpaka akaniomba 10,000 yake...
Guys, niliombwa kumfanyia mtu maombi ya chuo na alichagua NIT, Nilifanya application second round na nikalipia na ikabaki kusubiri chaguzi, cha achabu nina wiki sasa nikijaribu kuingia kuangakia STATUS wanasema INCORRECT LOGIN, mwenye nilimuombea anaona kama sikuomba nimekula 10000 yake.
Kama...
Naitwa Hussein issa nzomkunda nliibiwa begi lenye vyeti vyote ila
Hivo vingine nilishapata utaratibu wa kuvipata isipokua cha NIT tu.
Kwa anaejua utaratibu wa kufuata anisaidie tafadhali
Naitwa Hussein Issa Nzomkunda nliibiwa begi lenye vyeti vyote ila hivo vingine nilishapata utaratibu wa kuvipata isipokua cha NIT tu.
Kwa anaejua utaratibu wa kufuata anisaidie tafadhali.
Shirika la ndege Tanzania (ATCL) linatarajia kupokea ndege ya abiria ya masafa ya kati aina ya B737-9MAX ambayo uundaji wake umekamilika itakayowasiri kesho Oktoba 03, 2023.
Ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 181 katika madaraja mawili ambapo daraja la kawaida “economyclass” itabeba...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavYo:-
1. Amemteua Bw. Andrew Wilson Massawe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI). Bw. Massawe anajaza nafasi ya Dkt. Tausi Mbaga Kida aliyeteuliwa kuwa...
Naitwa Goodluck nina umri wa miaka 3, nimesoma NIT kozi ya Advanced Driver's Grade Two-VIP.
Nina uzoefu wa miaka 4 katika kazi ya udereva na nina endesha gari za aina zote.
License Class A, A2, B, C1,C2,C3,D na E.
Dhamira njema iliyooneshwa na serikali katika kukazania kujenga miradi ya kimkakati imetoa hamasa kwa Watanzania wengi kuchangamkia fursa ya kusoma kozi za huduma za usafiri wa reli, meli, bandari na anga katika chuo cha usafirishaji tanzania (NIT) Kwa Mujibu wa Mkuu wa Chuo
amesema awali...
Nimeangalia hali ya usalama wa abiria katika vyombo usafiri wa umma kwa maana mabasi na wale ambao tunatumia vyombo binafsi na wadau wengine wanaotumia barabara nchini, ni kwamba kumekuwa na wimbi kubwa la ajali katika kipindi hiki kifupi cha Januari hadi March hii 2022.
Ukiangalia vyanzo vya...
Katika hali ya kutatanisha nilijikuta nimefall in love na mwana JF mwenzangu. Tulianza kimzaha lakini baadae kizaha zaha! Radi HUPIGA mara moja.
Bahati mbaya shetani aliingilia kati na kuzua taharuki kwenye mahusiano yetu! Nitampata wapi huyu binti mpaka namba za simu kabadilisha!
Ni pale...
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini amesema kuwa serikali haihusiki na matukio ya moto yaliyotokea katika baadhi ya mikoa nchini na itawachukulia hatua watakaobainika kuhusika na matukio hayo.
Chanzo: itvtz
Endeleeni kudhani wote tu hatuna Akili.
Nitakuwa wa mwisho...
Mmesikia Clouds FM Radio leo asubuhi kuhusu fursa mbalimbali za kazi huko Canada
Kama kuna aliyesikia fursa za kazi zilizotangazwa na chuo cha N. I. T atujuze hapa.
POST: PERSONAL SECRETARY I – 2 POST
POST CATEGORY(S): HR & ADMINISTRATION
EMPLOYER: National Institute of Transport (NIT)
APPLICATION TIMELINE: 2022-01-07 2022-01-20
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
To organizing and maintain a diary of appointments
To deal with correspondences and...
Habari za ndugu zangu
Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote...
Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto...
Habari wadau poleni na majukumu,
Nasikia kuna kozi mpya ama imepewa jina lingine, zamani ni Shipping and Port Management, sasa hivi inaitwa Cargo Shipping, je kuna anaejua ukweli wa hizi taarifa?
Ref.No.EA.7/96/01/L/145 17Th June, 2021
VACANCY ANNOUNCEMENT
On behalf of Kigoma Water Supply and Sanitation Authority (KUWASA), Tengeru Institute of Community Development (TICD), The National Institute of Transport (NIT), Ministry of Finance and Planning (MOF) and Ministry of Health, Community...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.