- Thread starter
- #41
Ahsante Mama Sabrina mwayaYes ni kweli fuata sheria
Ahsante Mama Sabrina mwayaYes ni kweli fuata sheria
Yes ni kweli fuata sheria
SawaaAhsante Mama Sabrina mwaya
hahhah,lakini kweli unavyosemaUkiwa muoga sana utaonewa mnoo
Ningekuwa mimi na wewe akili zetu tungemnyoosha mbonaNa yeye angefuata sheria kucha kumbughudhi jirani yako
KUmbe ndo kazi yake..basi ndo mana akili haitumiki hapoHiyo ya kukata miti siwezi ni mirefu sana inatakiwa kukatwa kwa ufundi ili isiangukie nyumba. Kuhusu kumtandika makofi sina nguvu za kumpiga ni mwanamme. hahahahah mimi ni mwanamke. Kumlaza selo ni ngumu ni POLISI
Pole sana stickvibrationUgumu unauleta wewe Mkuu
Ati miti iniozeshee mabati yangu au iifanye nyumba yangu kuwa na nyufa,kisaaa,!!!!Miti ndio inaleta thamani ya kiwanja chake...Aseee!!!kwangu mimi hio ni sawasawa na mende kuangusha kabati
Mimi jirani yangu ana mti mkubwa saaana wa mzambarao siku majani yakianza kudondoka na kunichafulia Ua wangu tu,Fasta kibarua anakweya juu na panga na kukata matawi yoote
Huyo jirani yangu mwenye huo mti alishanitishia polisi mara kuniroga mara aniletee barua ya wito kwa balozi hadi kachemka mwenyewe
Kwasasa kashanizoea
Tumia kitega uchumi wewe c keHata yeye alishaniambia ukitaka kinunue, nikamwambia sina hela. na kweli sina hela na sina hitaji nacho
Ndio polisi (CID)KUmbe ndo kazi yake..basi ndo mana akili haitumiki hapo
Ningekuwa mimi na wewe akili zetu tungemnyoosha mbona
Basi mkuu kama vipi tafuta pesa mvue hicho kiwanja maana naona ndio suluhisho.Mjumbe/balozi ni shost yake, na ndie kampa kazi ya kuangalia hicho kiwanja mtu asikate mti hapo!!!!
Baba watoto anasemaje?Nilishajiridhisha siku nyingi kuwa hapa JF ni kisima cha faraja na pia kuna maudhi madogo madogo. Nina tatizo na jirani yangu kiasi kwamba nimekosa ufumbuzi hadi nimefikia maamuzi ya kuwaomba ushauri wanaJF.
Ni kwamba kuna jirani yangu ambaye yeye hajajenga bado (ni uwanja/kiwanja) tu. Katika kiwanja chake hicho amepanda miti ya aina ya mikaratusi imekuwa mirefu sana. Miti hiyo amepanda hadi mpakani kabisa na kwangu. Kunapokuwa na mvua na upepo mkali miti inainama hadi inakwaruza bati la nyumba yangu.
Nimemuomba sana akate miti minne ambayo ndio hatarishi lakini yeye majibu yake siku zote ni kwamba, hawezi kukata miti yake kwa kuwa ndio inayokipa kiwanja chake thamani siku akitaka kukiuza. Nilimuliza ni vipi athamini hela kuliko uhai wangu na nyumba yangu akasema kwa hilo nitamsamehe labda akate mti mmoja tu.
Naomba mnisaidie je hili suala nilipeleke kwenye mamlaka ipi ya serikali? Nakiri kuwa negotiation na mediation vimekwama kabisa.
Petro E. Mselewa nisaidie mkuu na wengineo wengi
Hhhhhhhhhh! Sio kwa maamuzi hayoNingekuwa ni mm ningeenda kutafuta mashine ya kukatia miti/mbao then nasubir usiku mnene uingie naenda kuikata hyo miti yote na kurejesha mashine kwa mwenye nayo usiku kwa usiku,kesho asbh akniuliza nitamwambia sifaham chochote na nilikuwa safarini na familia yangu (nitamuonyesha na tiketi kama ushahidi)
Aaaaagh! Mahakamani,kwa balozi na kwenye mabaraza ya ardhi au kata ni kupotezeana muda!
Ngoja kidogo nitakujibu monde arabeKwani Mkuu,huna mume ambaye atakuwa anajibizana naye huyo Mkurya...watu wa kanda ya ziwa wakiona mahali anaishi mwanamke peke yake huwa wanamdharau sana hata kama atakuwa na mafanikio!
Hhhhhhhhhh! Sio kwa maamuzi hayo
Ahsante kwa ushauri mzuri mkuu VyamavingiMripoti kwa Mwenyekiti wa Mtaa. Huyo jirani yako ni tatizo.
Vv
Yaani unaamua kuukuza mgogoro!Ningekuwa ni mm ningeenda kutafuta mashine ya kukatia miti/mbao then nasubir usiku mnene uingie naenda kuikata hyo miti yote na kurejesha mashine kwa mwenye nayo usiku kwa usiku,kesho asbh akniuliza nitamwambia sifaham chochote na nilikuwa safarini na familia yangu (nitamuonyesha na tiketi kama ushahidi)
Aaaaagh! Mahakamani,kwa balozi na kwenye mabaraza ya ardhi au kata ni kupotezeana muda!
ethe tehe teheNingekuwa mimi na wewe akili zetu tungemnyoosha mbona