- Thread starter
- #21
Yeye anakiuza hicho kiwanja hataki kujenga hapo. Kuhusu ujirani ni kweli ni vema kuishi kwa amani, ndio maana nimekuwa nikijishusha sana kwake kumuomba lakini hataki kabisa!!!!! Mwishoe nimeona niombe msaada wa ushauri kwenu wanaJF, nashukuru nimepata mwanga.Sema kwa kuwa ni jirani yako, kama na yeye atakuwa na mpango wa kujenga hapo ni vyema mkayaongea kabla ya kufika kwenye vyombo vya sheria... maana huenda baadae mmoja wenu akawa msaada kwa mwingine hapo baadae... ujirani mwema