Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kwa uelewa wangu kias.... Mizimu ni kikundi cha majini wenye mafungamano na jamii flani.

Mizimu huwa na mafungamano yasiyo ya kidini na jamii husika, Imani za kale ndio zilitoa nafasi au katiba au formula ya jamii kuishi na mizimu kwenye maisha ya kila siku...... lakini kutokana na mambo kubadirika jamii nyingi sikuhz zimepoteza elim ya Hakika kutokana na ujio wa dini, usasa n.k
Hvyo watu wakatelekeza huo ubia uliopo enzi na enzi bila kujua kila ushirika huwa na mikataba!!

Watu wengi sana wanateseka na hili swala na wamekubali kwa kuhofia mizimu n ushetani... taratibu zao haziendani na Dunia ya Leo, taratibu zao haziendani na mambo ya kidini n.k
Kwahyo mizimu inapitia changamoto ya kukataliwa kila Leo na watu wao... hvyo ndo ugomvi unaanza hapo, na mwanaadam ili uweze kumcontrol ili akubali jambo lako kwa ridhaa yake lazima umshike kwenye furaha yake na uchumi wake
(Ndo utaona watu wengi wengi wenye ugomvi na asili zao huwa na hali ngumu kimaisha, magonjwa n.k)

Mizimu n asili yako... hawa hawahitaji kitu chochote kutoka kwako zaidi ya kutaka kukutumia kuwasaidia ndugu zako!!
Hili ndio kundi ambalo huwa wanataka kuona umefanikiwa bila mashart yoyote, wenyewe wanachotaka n wapate makazi tu!!

Nimetoa maelezo ya faida zao sabb n upande ambao huwa wengi hawaugusi.... wanaeneza mabaya tu!!

Note: Hawa jamaa sio mashetani na wala sio Babu zako waliokufa zamani!!

Dini kageuka n adui mkubwa sana wa hawa jamaa, sabb wadau wa dini kutokuwa na elim na ulimwengu wa kiroho mafundisho Yao yamekuwa n opposite na uharisia..... wao kazi Yao n kutafsiri maandishi✍️

Kitu kimoja watu wasichokijua n kuwa mizimu inaweza kubadirika baadhi ya taratibu zake kutokana na mtu au wakati!!
Nimeeleza kwa ujumla ili upate picha kubwa
Duu aisee tutapona kweli?
 
Kwa uelewa wangu kias.... Mizimu ni kikundi cha majini wenye mafungamano na jamii flani.

Mizimu huwa na mafungamano yasiyo ya kidini na jamii husika, Imani za kale ndio zilitoa nafasi au katiba au formula ya jamii kuishi na mizimu kwenye maisha ya kila siku...... lakini kutokana na mambo kubadirika jamii nyingi sikuhz zimepoteza elim ya Hakika kutokana na ujio wa dini, usasa n.k
Hvyo watu wakatelekeza huo ubia uliopo enzi na enzi bila kujua kila ushirika huwa na mikataba!!

Watu wengi sana wanateseka na hili swala na wamekubali kwa kuhofia mizimu n ushetani... taratibu zao haziendani na Dunia ya Leo, taratibu zao haziendani na mambo ya kidini n.k
Kwahyo mizimu inapitia changamoto ya kukataliwa kila Leo na watu wao... hvyo ndo ugomvi unaanza hapo, na mwanaadam ili uweze kumcontrol ili akubali jambo lako kwa ridhaa yake lazima umshike kwenye furaha yake na uchumi wake
(Ndo utaona watu wengi wengi wenye ugomvi na asili zao huwa na hali ngumu kimaisha, magonjwa n.k)

Mizimu n asili yako... hawa hawahitaji kitu chochote kutoka kwako zaidi ya kutaka kukutumia kuwasaidia ndugu zako!!
Hili ndio kundi ambalo huwa wanataka kuona umefanikiwa bila mashart yoyote, wenyewe wanachotaka n wapate makazi tu!!

Nimetoa maelezo ya faida zao sabb n upande ambao huwa wengi hawaugusi.... wanaeneza mabaya tu!!

Note: Hawa jamaa sio mashetani na wala sio Babu zako waliokufa zamani!!

Dini kageuka n adui mkubwa sana wa hawa jamaa, sabb wadau wa dini kutokuwa na elim na ulimwengu wa kiroho mafundisho Yao yamekuwa n opposite na uharisia..... wao kazi Yao n kutafsiri maandishi✍️

Kitu kimoja watu wasichokijua n kuwa mizimu inaweza kubadirika baadhi ya taratibu zake kutokana na mtu au wakati!!
Nimeeleza kwa ujumla ili upate picha kubwa
Naunga Mkono Hoja
 
Kuna siku nilikaa riadhw siku 3 msikitin... (Huu msikiti ulikuwa hauna movement ya watu wengi n kama ulikuwa umetelekezwa, kwahyo mda mwingi pako kimya sana)

Siku ya pili kitu kama majira ya jion hivi katikati ya nyirad nikapitiwa na usingizi,,,, sasa ikawa n vision ✍️

Nikaona kwenye moja ya ukuta wa msikiti Kuna kitu kama mlango umefunguka (Kama zile movie za time travel, Yani mlango ambao unakupeleka ulimwengu mwingine.

halafu kule ndani Kulikuwa na watu wawili wamevaa kanzu, n kama gatekeeper wamesimama pembeni ya mlango mmoja huku mwingine kule.... n kama walikuwa wanasubiri niingie wafunge mlango

Jamaa alivyozungumza habari za Dimensions na muundo wake huwenda ni kweli ....
Hahaha nimekumbuka mbali kdg asee
(Japo vitu hivi vikikutokea usipokuwa na kiongoz unakuwa hujui maana yake.... )

Hapa Leo ndo nagundua kwamba Ile ilikuwa Dunia ya viumbe wengine.. ila kipindi hcho sikujua lolote🥺
Chai
 
Asante hapo umezungumzia mtu kuingia kwa kuota vipi binadamu anaweza ingia physically kwenye dunia ya majini mfano kama vile ambavyo bakora alivyokuja katika dunia yetu physically kwa umbo la mtu kwenye kile kisa cha unguja cha yule daktari aliyekuwa anaumwa?
Bakora mwenyewe anasema yeye ni mtu, ni mimi ninaesema yeye Jinni kwani mambo yake kama ulivyoyasoma juu huko.

Kwa ufupi inawezekana.
 
Hivi inawezekana mwanaadam kuingia kwenye mlango wa kiroho wa mwanaadam mwenzake... (Kama wanavyofanya majinn)

Yani mfano Juma aingie kwenye ulimwengu wa Hamisi na kujua kinachoendelea huko, kukagua mazingira huko.... Kisha kutoka🤔

Hii kitu inawezekana, au ndo nishaanza kuweuka🤔🤔

Arsis
Binadam anaweza kupata maelezo yoyote yanayomuhusu binaadam mwengine ambae si Mcha Mungu kupitia Qareen (companions) wa kishetani. Kwa wacha Mungu haiwezekani labda huyo "Mcha Mungu" awe mnafik wa show off tu.

Binadam wengi hujificha nyuma ya pazia la misikiti na makanisa ili waonekane ni wema kumbe ni kinyume chake.
 
Nimerudia kuusoma Uzi tena... naona Kuna mambo mwanzo niliyasoma kama story tu, ila this time yananifikirisha sana!!

Hivi hili swala la kukunja ardhi ambalo lilifanyika Tanga pangoni kuvuta chupa ya Arsis... kitabu kilichokuwa kinasomwa na yule jinn alojifananisha na mzee wa barabara ya 9, katika kufanya hiyo kazi ni hii Quran?? Au n kitabu cha ujinini

Halafu pia Kuna sehemu ulisema Kuna jinn alitakiwa kutoka Dunia nyingine mwenye kitabu flani chenye power.....
Swali: Hivi Kuna vitabu vingine vinanguvu kuliko Quran??
Maana sisi tunaamini Quran inanguvu kuliko vitabu vingine.....

Em sema neno hapa ndugu
Arsis
 
Bakora mwenyewe anasema yeye ni mtu, ni mimi ninaesema yeye Jinni kwani mambo yake kama ulivyoyasoma juu huko.

Kwa ufupi inawezekana.
Duuh!, Mambo haya.
Siku moja niwatembelee huko kwao.. Inshaallah.
 
Binadam anaweza kupata maelezo yoyote yanayomuhusu binaadam mwengine ambae si Mcha Mungu kupitia Qareen (companions) wa kishetani. Kwa wacha Mungu haiwezekani labda huyo "Mcha Mungu" awe mnafik wa show off tu.

Binadam wengi hujificha nyuma ya pazia la misikiti na makanisa ili waonekane ni wema kumbe ni kinyume chake.
Hapa ndio maswali yanakuwaga mengi.
1. Huyu mwanadamu anayeweza kupata maelezo kuhusu mwenzake(ambaye si mcha mungu) ni lazima yeye awe mchamungu au ni lazima awe na elimu ya kuwasiliana na qareen wa mtu mwingine. Yaani ili wewe uweze kuwasiliana na qareen wa mtu mwingine kigezo ni uwe mchamungu? au uwe na elimu ya kufanya hayo? au uwe na vyote?.

2. Haya maelezo yanayotoka kwa huyu Qareen (Companion) wa kishetani tunaweza yatumia kama maelezo ya kweli yasiyo na shaka? maana huyo qareen mwenyewe tayari ni wa kishetani na mashetani ni waongo. vipi hapa?

3. Umesema njia hii ya qareen haiwezekani kwa mcha mungu, Hii ina maana kuwa huyu Qareen wa kishetani anaweza badilika kulingana na hali ya mtu.? yaani kama wewe ni mcha mungu basi unaweza mwathiri qareen wako kwa ucha mungu wako? kama ilivyo katika ile hadithi ya mtume Muhammad (amani iwe juu yake ) alivyosema kila mtu ana qareen anayemuongoza kufanya mabaya maswahaba wakamuuliza ata wewe mtume, Mtume akajibu ndio ata mimi ninaye ila wakwangu amesilimu.

4.Mbali na njia hii ya qareen, Je kuna njia nyingine mwanadamu anaweza itumia kupata maelezo kumuhusu mtu mwingine.?
 
Assalaam Alaykum!
Arsis naomba kujua asili ya mizani ya herufi za abjad. Hii elimu ilitokea wapi na inasunishwa vipi kidini maana kila anaetumia katika Masheikh wakubwa nimewauliza hilo swali hakuna alieweza kutoa majibu yenye kueleweka au kufanana. Kwa mfano tunaambiwa jina la Allah اسم اللطيف mizani yake ni 129 yaani ل=30, ط=9, ي=10, ف=80 ambayo jumla yake ni 129. Hivyo ukitaka haja yako tunafundishwa kulisoma hilo jina mara 129. Vipi hapo naweza kumjibu kielimu mtu ambae atakaeniuliza nipe dalili ya hiyo idadi umeitoa wapi katika dini? Naomba unielezee ilitokea wapi hii elimu na ni nani kafundisha.
Asalam alykum.
Unaweza weka uzito wa kila herufi kwa abjad? maana kuna zoezi Arsis alisema nifanye kwa kutumia Abjad ila nilikosea akasema nijifunze abjad kwanza embu naomba niwekee uzito wa kila herufi kwa unavyojua wewe nilinganishe na mimi.
 
We unakitu Hakika.... Allah akuongoze kwenye njia alowapitisha waja wake wema!!

Kuna kitu umegusa hapo.... ngoja nikupe kisa chake tena huenda ukapata kitu

Kipindi nafika Zawiyan, siku ya pili yake kabla hata sijaanza kufanyishwa taratibu yoyote...... waalimu wangu walimfata yule mwalimu wangu wa kibinaadam wakamwambia hivi
"Mtibu kwanza maradhi ya nafsi kabla ya chochote..... wakampa na nyirad anipe.
(Hii ukiitaka ntakupa!!)

Amini kwamba vita ya nafsi n ngumu kuliko unavyodhan... hapa ndipo Kuna Mungu, hapa ndipo uchamungu ulipo, Siri zote za kitwariqa zipo hapa✍️
Ameen... Atuongoze sote.
 
Nakumbuka hilo Arsis alikwambia hivyo. Cha kwanza nafikiri tupate elimu kutoka kwa Arsis hii elimu ya uzani wa herufi imetokea wapi asili yake na nani kazipa uzani huo. Mimi mpake leo hii hakuna Sheikh alieweza kunijibu swali hilo na nimetafuta kwenye internet hakuna pia alieweza kutoa majibu yenye kueleweka. Hivyo tufanye subira tujibiwe kwanza.
sawa.. Arsis msaada hapa.
 
Hii njia ya qareen nadhan alimaanisha ukitaka pata taarifa unamuita jinn uliye nae karibu, halafu yeye ndo anaenda kumuuliza yule qareen wa yule mtu mwingine then taarifa zinakurudia!!!

Hii njia mm naweza kufanya kabisa kupitia telepathy... ila sikuwa najua taarifa huwa wanatoa wapi

Njia hii huwa siipendi maana huwa naona inapumbaza, unakuwa unawategemea wao, halafu wanakuwa wanakuchambulia habari wakupe nn wasikupe nn na huna cha kufanya✍️

But trust me, kuna njia nyingine ambayo hii n hatari sana.... hii hauhitaji kumuuliza kiumbe wala nn, hii unatumia power yako tu ya ubinaadam unaenda kudukua data huko😂

Nimejaribisha juzi,,,, ndo sababu ya kuuliza lile swali pale juu!!
Kwamba hii ya qareen hauna namna inabidi ukubaliane na watakachokuambia tuu..😀🙄 hatari sana.
Hii ya kutumia power ya kibinadamu ili tick mkuu kama ndio je ina limit ya taarifa au ndio unazikomba unavyotaka wewe .
 
Wewe ni Muislam? Kama wewe ni Muislam nakuusia kumcha Allah na kutozugwa na kuingia katika haya mambo. Ridhika na Muongozo wa Mtume wako (Swala na Salamu ziwe juu yake), baki katika njia ya Maswahaba (Allah awaridhie).


Achana na mashetani, watakupoteza.

Mtu unamuuliza shetani maswali ya kidini? Yaani seriously unamuuliza shetani!? Unatarajia nini? Adui ambaye hakuonei huruma kabisa!

Unatakiwa umuombe Allah akukinge kutokamana na Shetani, wewe unamfuata shetani kujifunza mambo kwake ikiwemo ya kidini?

Allah atuongoze katika njia iliyonyooka.
Hoja haipingwi rungu, acha tuendelee kuokota okota madini kutoka kwa Arsis Mwamba huyu. But whatever it may be.. tuendelee kuwa na tauwhid juu ya Allah ✊

Arsis sio kweli tunakumisi sana, natanguliza shukrani zangu 🙏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom