T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,096
- 4,578
Majina huumbaNimekaa Segerea kwa miezi miwili. Haya ndo niliyoyaona:
- Magodoro yamejaa chawa.
- Wengi wa mahabusu wana matatizo ya akili.
- Watu wanakaa muda mrefu bila kesi zao kusikilizwa.
- Magari ya kupeleka watu mahakamani ni mabovu hakuna mfano.
Wenye experience ongezeeni.