bora kumrudia Mungu na kuepeukana na uovu
Nimekaa Segerea kwa miezi miwili. Haya ndo niliyoyaona:
- Magodoro yamejaa chawa.
- Wengi wa mahabusu wana matatizo ya akili.
- Watu wanakaa muda mrefu bila kesi zao kusikilizwa.
- Magari ya kupeleka watu mahakamani ni mabovu hakuna mfano.
Wenye experience ongezeeni.
Wafungwa hawapelekwi segerea kule ni mahabusu
Mkuu hapo kwenye magodoro umedanganya. Umataka kutuaminisha kuwa magereza ya Tanzania kuna magodoro? Siyo kweli kabisa! Kuna magunia tu yanayotandikwa chini. Ukiwa tajiri ndio ndugu zako wanakuletea godoro. Sahihisha hapo......
Hapana mkuu magodoro yapo ila mengi yamechakaa....Yale mazima wanatumia maNYAPALA na waliokaribu nao....yale yaliyochakaa....ndio wanapewa wasio julikana kwenye SELO kunakuwa na LINE 3 mbili zinakuwa pembeni katikati inakuwa 1 wenyewe wanapaita maandazi Road.....hapo ndio kunakuwa na mchongoma....vigodoro vilivyochakaaa....
HEBU tupeni menu za kule, muda wa chai, chakula cha mchana na chakula cha usiku, nyama ni mara ngapi kwa wiki, samaki mara ngapi na chips ni siku gani,
Chai wanakunywa na nini ?
Mkuu nimecheka sana hiki ulichoandika hapa heti Chai...kule sio nyumbani....Unaishi kwa AMRI ya mwanaume mwenzio....kwanza muda wa Kula ni mmoja kuanzia sa5 asubuhi ndio mpaka kesho yake so ww utaangalia km hicho ni chakula cha usiku au mchana kuanzia sa10,jioni wote ndani ya SELO hadi kesho saa11 alfajiri....kwaajili yakupata bakuli la Uji kuwahi Mahakamani na wale ambao tar zao ziko mbali mnapiga Stori.....chakula cha home mnakula Siku ndg wanapokuja kuwa tembelea
Inamaana kama utaingia kule na njaa yako saa tisa mchana imekula kwako....
Sasa wale kula kula akishakula saa tano inabidi usiku ahesabu mabati....
Hizi stori mnapiga kuanzia asbuh mpaka mlale, hakuna maktaba ya kujisomea hata magazeti ya udaku....
Hizi stori za kule zingewekwa bayana zingewafanya baadhi ya vijana waache ubabe. KULA NI MARA MOJA ? SAA KUMI KITANDANI hata kuku wenyewe hawajaingia
Pole sana mkuu. Kesi kama hii ilitaka kunikuta machale yakanicheza kisha nikaacha kazi mapema.Preta wajanja walipiga hela mi mgeni kazini nikapewa kesi.
Mkuu usini kumbushie mageleza ya tz hayafai binadam kutunzwaNimekaa Segerea kwa miezi miwili. Haya ndo niliyoyaona:
- Magodoro yamejaa chawa.
- Wengi wa mahabusu wana matatizo ya akili.
- Watu wanakaa muda mrefu bila kesi zao kusikilizwa.
- Magari ya kupeleka watu mahakamani ni mabovu hakuna mfano.
Wenye experience ongezeeni.
Mkuu mende Wa segerea walikukosa lakini?Nimekaa Segerea kwa miezi miwili. Haya ndo niliyoyaona:
- Magodoro yamejaa chawa.
- Wengi wa mahabusu wana matatizo ya akili.
- Watu wanakaa muda mrefu bila kesi zao kusikilizwa.
- Magari ya kupeleka watu mahakamani ni mabovu hakuna mfano.
Wenye experience ongezeeni.
Mkuu ushasema wengi wana matatizo ya akili. Ninaaminije kama uko timamu na uliyosema ni kweli?Nimekaa Segerea kwa miezi miwili. Haya ndo niliyoyaona:
- Magodoro yamejaa chawa.
- Wengi wa mahabusu wana matatizo ya akili.
- Watu wanakaa muda mrefu bila kesi zao kusikilizwa.
- Magari ya kupeleka watu mahakamani ni mabovu hakuna mfano.
Wenye experience ongezeeni.