Niliyoyaona Gereza la Segerea

Niliyoyaona Gereza la Segerea

hitler2006

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
489
Reaction score
457
Nimekaa Segerea kwa miezi miwili. Haya ndio niliyoyaona:
  • Magodoro yamejaa chawa.
  • Wengi wa mahabusu wana matatizo ya akili.
  • Watu wanakaa muda mrefu bila kesi zao kusikilizwa.
  • Magari ya kupeleka watu mahakamani ni mabovu hakuna mfano.
Wenye experience ongezeeni.
 
hitler2006
Ulifanya nini hadi ukafika kule? Pole mkuu, magereza hawajajengea mbwa, wamejengea binadamu usipoingia kwa kosa basi unaweza kuingia kwa kusingiziwa. Vipi choo, fresh au?
 
Last edited by a moderator:
hitler2006
Aiseee... Ulikumbwa na masahibu gani..?..
 
Last edited by a moderator:
Hujalalamikia chakula, maji ya kuoga na kunywa, matibabu, entertainment kama Tv na Radio, Unyanyasaji, ulawiti, visiting justice na uhuru wa kuwasiliana na ndugu na jamaa kwa njia ya barua , bila shaka hivyo vyote vipo sawa! Hongera Magereza
 
Back
Top Bottom