Niliyoyaona Gereza la Segerea

Niliyoyaona Gereza la Segerea

Hujalalamikia chakula, maji ya kuoga na kunywa, matibabu, entertainment kama Tv na Radio, Unyanyasaji, ulawiti, visiting justice na uhuru wa kuwasiliana na ndugu na jamaa kwa njia ya barua , bila shaka hivyo vyote vipo sawa! Hongera Magereza

Mkuu hilo la urawiti Lipo kila gereza na ni kwa anaye kuwa tayari,sema tu kwa mtu ambaye ndio umeingia kushuhudia hayo mambo kidogo inasumbua sana.
 
mbona hujaweka sheria za jela
kunya mara moja kwa siku
kukojoa mara moja kwa siku
kuoga kwa siku mara moja tena zote hizi ni saa nane
kulala saa kumi

Ndugu yangu wacha masihara yako
 
Duh!me nilikaa lock up ya police masaa mawili tu kisa nilimzaba mtu makofi ila nilijiona kama niko jehanamu vile..tangu hapo niliapa kutokuvunja sheria za nchi.

Mkuu kwenda gerezani siyo lazima uwe umetenda kisa kweli amini husiamini.
 
Nikisikiliza msela jela, moyo unaniuma kichiz utadhani papii kocha ni ndugu yangu vile... very painful.. jela sio pazur wanangu tupaskie na kujadil jf hv hv
 
Kuna jamaa alikuwa Mfungwa lakini alikuwa anasoma LLB Open University of Tanzania, alishamaliza?
 
.. Watu8 simu zinaingizwa kwa mchongo tu, ila ni marufuku na Ukikutwa nayo ni shida

Mkuu simu zinaingizwa keko lkn Segerea ni ngumu kabla Ukivuka kwenye geti lao Unabong'oleshwa unapewa na ndoo uachie mzigo hata km hujala chochote lazima! Hata km unaificha tumboni utaitoa tu then utaelewa kit akachoendelea!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu uliweza kuwaona wale waheshimiwa kabisa mawaziri Yona na yule mla nyasi Mrombo ?
 
Dunia ilipofika ni hatari tupu kwa kweli kama uraiani tu ni hivi maisha magumu, mlo wa shida je huko jela?
 
aiseee babayangu mleta mada ulifanikiwa kumwona babu seya na papi kocha
 
Back
Top Bottom