tang'ana;
Usiseme utatii sharia bila shuruti. Juzi jumamosi, si nikaitwa usiku, ajali hiyoo imetokea, kufumba na kufumbua niko lock up ya polisi. Usiombe, leo ni j3 nyama zote mwilini zimeoza kabisaaa, Hata hiyo kuoga kwangu shiida. Naogopa hata kujipaka hiyo sabuni. Unalala kwenye zege hakuna hata kipande cha box tu jamani. Utu umeenda wapi?? Mnawaita atii ni watuhumiwa, semeni mnatamani wafwe bila hukumu ili kupunguza idadi hii inayo ongezeka. Nimetolewa leo, ati uchunguzi unaendelea, Eee Mola wahurumie wanadam ulio waumba, kwa nini wanawaziana kutesana tuu jamani?? Si muweke hata sakafu zuri tuu? Na baridi lote hili naamini nimetoka na ugonjwa mwingine mle. Msalani ni hapo mbele ya wenzako, kuchafu hata jivi linarudi halitoki. Ptuuuu, mwanangu asiwe polisi nitamlaan