mlokole halisi
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 268
- 87
Mkuu afadhali umejionea mwenyewe mahabusu zilivyo. Kuna watu wanadai eti siku hizi mahabusu zote zina magodoro na vitanda.....wanajidanganya! Ustaarabu huo bado haujafika Affika na Tanzania ndio usiseme......Mimi naapa kwamba askari yoyote atakayenikamata na kuniweka mahabusu jwa makosa ya kubambikizwa nikitoka laxima NAMUUA! I will kill him by my own hand!
hahahah unaweza mkuu tuwezeshane?