Niliyoyaona Gereza la Segerea

Niliyoyaona Gereza la Segerea

Mkuu afadhali umejionea mwenyewe mahabusu zilivyo. Kuna watu wanadai eti siku hizi mahabusu zote zina magodoro na vitanda.....wanajidanganya! Ustaarabu huo bado haujafika Affika na Tanzania ndio usiseme......Mimi naapa kwamba askari yoyote atakayenikamata na kuniweka mahabusu jwa makosa ya kubambikizwa nikitoka laxima NAMUUA! I will kill him by my own hand!

hahahah unaweza mkuu tuwezeshane?
 
Mkuu afadhali umejionea mwenyewe mahabusu zilivyo. Kuna watu wanadai eti siku hizi mahabusu zote zina magodoro na vitanda.....wanajidanganya! Ustaarabu huo bado haujafika Affika na Tanzania ndio usiseme......Mimi naapa kwamba askari yoyote atakayenikamata na kuniweka mahabusu jwa makosa ya kubambikizwa nikitoka laxima NAMUUA! I will kill him by my own hand!

Basi ww unapenda kukaa gerezani na ndio maana unathubutu hata kutaka kuua ili uende ukaishi huko😕
 
Bora Yako Wewe! Wengine Wanafika Gerezani Wanafungishwa Ndoa Kabisaaaa! Tena Kama Wenye Afya Mgogoro Wanaolewa Na Wanaume Wenzao Zaidi Ya Wa5
 
hitler2006

Kweliii!!! Hayo ndo uliyaona mkuu? Ni segerea kweli au kwinginee
 
Last edited by a moderator:
Aadilu;
Mengi nimekuelewa lakini hilo la ulawiti, sikuelewi. Kwani hicho nacho ni miongoni mwa yale muhimu? Wanagawiana au ni nguvu? Serekali inalijua hili? Mbona kuna sheria kuwa kutenda hivyo ni kinyume cha maumbile iweje huko waruhusiwe kufarijiana???

Wazo;
Kwa nini serikali hii tukufu isiruhusu wenza wakaenda huko kuwasuuza mioyo wenza wao? Si hilo lingepunguza au kuondoa kabisa upuuzi huu?

Hao chawa aliowakuta huko mwenzetu huyu, ni wa kichawi au ni miongoni mwa adhabu zenyewe? Nauliza tu nipo gizani.

Unaonaje kama wale dada zetu wanaojiuza wangekuwa wanakamatwa wanapelekwa kule watoe huduma ki serekali halafu wanarudishwa lindo lao kama kawaida. Nawaza tuu ili jamaa kule wasikose huduma na uzalishaji uongezeke
 
mambo yote ya magerezani ni kama ya unyagoni huwa hayasemwi uraian kaka....kama umeamua kusema sema yoteeeeeeeee usibakize na yale mengine....vingenevo yote ya gerezani ndio funzo....ukitaka kulala vizuri mfikirie mlalamikaj wako, ukitaka kula vizuri mfikirie mlalamikaj wako pia...yeye uko nje anavipata? chawa, kulala chini hiyo ndio Jela jereha....aisadii kulalamika...siwezi kukuonea huruma kwa sababu sijui kosa lako labda hukustahili hata kuwa hapa leo....!!
 
Back
Top Bottom