dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,531
Gereza ambalo limestarabika Ni keko Tu,,,full maji full communication
%kubwa jela ya keko wanapelekwa wenye nazo naili upelekwe kule lazima useme na Askari magereza
Gereza ambalo limestarabika Ni keko Tu,,,full maji full communication
zile habari za ulawiti tunazosimuliwa zimekomeshwa??
Na jela nyampara akikwambia we ni demu wangu bana ucposema sawa bwana mkubwa unakula masalala za laana
Mkuu umewahi kukaa JELA gani ukakutana na mambo hayo au nawee uckia stori za vijiweni,,,,! Jela watu akili zimevurugwa unakuta MTU amekaa 10yrs na kesi haijazungumzwa huo mud a wakufanya upuuzi anatoa wapi
HeheheheheMtu akikupeleka gerezani kwa kukuonea ukitoka unamkata kichwa kisha unakisafirisha kama kifurushi. Una mu address mkuu wa gereza. Hiyo ndiyo adhabu sahihi.
Nilikaa Karanga Moshi kidogo niwe chizi kama lisu
Kila mtu hapa ni mfugwa mtarajiwa
Ni kweli tatizo watu stori wanaamishia!kuhusu kuchapwa nao ni kupenda mwenyewe na nijuavyo ni kosa kubwa ukipatikana nalo huko lazima ucheze sana virungu
Mtu akikupeleka gerezani kwa kukuonea ukitoka unamkata kichwa kisha unakisafirisha kama kifurushi. Una mu address mkuu wa gereza. Hiyo ndiyo adhabu sahihi.
Mkuu unachosema ni sahihi kabisa mi kuna mtu alitengenezea kesi akahonga nikawekewa mizengwe Dhamana ikachelewa nikatupwa kule WK 1 namlia timing,,,Akingiia kwenye Ramani yangu kaisha tatizo la Maisha ya Jela niile kutokuwa free,,,! Mtu yyt akikupeleka kule hata km ni Mzazi wako choranae mstari
Aadilu;
Mengi nimekuelewa lakini hilo la ulawiti, sikuelewi. Kwani hicho nacho ni miongoni mwa yale muhimu? Wanagawiana au ni nguvu? Serekali inalijua hili? Mbona kuna sheria kuwa kutenda hivyo ni kinyume cha maumbile iweje huko waruhusiwe kufarijiana???
Wazo;
Kwa nini serikali hii tukufu isiruhusu wenza wakaenda huko kuwasuuza mioyo wenza wao? Si hilo lingepunguza au kuondoa kabisa upuuzi huu?
Hao chawa aliowakuta huko mwenzetu huyu, ni wa kichawi au ni miongoni mwa adhabu zenyewe? Nauliza tu nipo gizani.
...Mkuu Tena Namimi Nilisikiaga Eti Ukiua Mbu,kunguni Au Chawa Nyampala Anakumaindi Kinoma!Cjui Nikwelii.