geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,036
- 7,195
ndio maana mwanzoni uzi unaanza nilimwambia aache Ufala.Hawa jamaa huwaga wakisifiwa wanakula kona...
inatakiwa wamwage story kama bujibuji....
bujibuji akilianzisha mpaka mnakoma na story
napenda sana stories kama hizo...ila kusubiri naonaga ujinga shusha kitu kiishe...kuna mwamba alitupa story ya south jins alivyoponea kuuliwa na polisi alishusha episode moja ndefu sana story ikaisha
hawa nitarud sijui itaendelea wanaboa sana
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app