Nilitaka kumuua mke na mtoto wa 'my best friend' kwa risasi!

halafu mjeda (mura kutiki?) uliulizwa km huna bundle wakujazie,
sasa unasema eti mtandao unasumbua mbona sasa hiyo msg imefika wewe tumalizie au tuambie tukusubiri saa ngapi maana km ni jumba la sinema pale diamond pale tabora tiketi zimeshaisha kwa hii tamthilia yako
wewe tuambie tukutatane saa ngapi? Tumuone huyo jamaa anayechimba kaburi alivyokunyang'anya ak 47 (maana wewe si mjeda unahasiri za kugegedewa na silaha hujui kuitumia km unabisha endelea tuone basi)

easy man!
 
32:Niliamua kuachana na kazi rasmi na nikaondoka huku aseti zangu nikizikabidhi kwa jirani yangu niliyemuona kama ndugu.

Safari yangu haikwenda migodini bali ktk hali ya kushangaza niliingia ktk kundi moja la uwindaji haramu,

Nilifanya kazi hiyo kwa muda wa mwaka 1 nikawa na kipato kizuri kilichoniwezea kufika popote tanzania hii.

Habari ya my best John ikawa imenitoka tayari huku sasa akili yangu ikiwa imetulia sawia.

Ktk uwindaji wetu nilikutana na bwana moja alikua ni mwenyeji wa Tanga.nilijaribu kumdadisi ni vp maisha yalivyo tanga akasema pako poa ila dili ya uhakika ni ya kilimo cha mboga mboga,nilitaka kujua kama inalipa akasema inalipa vizuri maana wafanya biashara wanaingia sana kutoka Dar.

Hii ilinifariji sana na nikamuomba kama vipi tujiunge tukafanye kazi.

Alinielewa na safari ya Tanga ikaanza.

Tulikwenda mpaka sehemu moja inaitwa Soni na ndio nyumbani kwao.

Tulipokelewa vizuri na baada ya wk chache tukaanza project.

Nakumbuka siku 1 nikiwa ktk mizunguko yangu ya kawaida niliwaona wazungu 2 hivi mwanaume na mwanamke.
Ilinishangaza maana sikutegemea kumuona mzungu eneo hilo,niliwasogerea nikawasalimia na tukaongea mambo 2,3 hivi.Kisha nikajua kwamba ni wataalamu wa viumbe hai na wamekuta USAMBARA MOUNTAINS kufanya research ya fulani ya NYOKA,nilitaka kujua kama watapenda niwape campan,hawakua na kipingamizi ingawa pia niliona wana hofu fulani hivi.

Waliniambia tuonane asbh kwa ajiri ya safari ya kwenda misitu fulani hivi inaitwa MPONDE.

NILIJIANDA na kesho yake asbh safari ya mponde ikaanza.................
 
32:Kisha nikajua kwamba ni wataalamu wa viumbe hai na wamekuta USAMBARA MOUNTAINS kufanya research ya fulani ya NYOKA,nilitaka kujua kama watapenda niwape campan,hawakua na kipingamizi ingawa pia niliona wana hofu fulani hivi.

Waliniambia tuonane asbh kwa ajiri ya safari ya kwenda misitu fulani hivi inaitwa MPONDE.

NILIJIANDA na kesho yake asbh safari ya mponde ikaanza.................



Huyo mmoja wenu aliyekufa juzijuzi mkamzika ameshakufa tayari?
 
Waliniambia tuonane asbh kwa ajiri ya safari ya kwenda misitu fulani hivi inaitwa MPONDE.

NILIJIANDA na kesho yake asbh safari ya mponde ikaanza.................

Labda kwangu mimi utamu utaanzia hapa, kwa sababu katika mishemishe za maisha nimechakaza sana maeneo haya ya Soni, Bumbuli, Mponde, Kweminyasa mgodini, Bungu nk. Nitafuatilia kila posti inayohusu eneo hili kwa umakini sana.
We mjeda endelea kutudadavulia...
 
There are currently 109 users browsing this thread. (25 members and 84 guests)

eeeeehhhh hivi leo ni juma ngapi source Asprin

wengine tunatumia simu so idadi ni kubwa zaid ya hiyo unachezea simulizi toka kwa mjeda

tena nipo kwenye basi mbeya express natoka tunduma naja mjini nimesimama ila bado nafatilia hii kitu we mjeda wewe kweli umetushika
 
Last edited by a moderator:
nimeamua ku log in kwenye page mbili nyingine na browse tu hii moja ndo nasubiria updates za Chai Chungu aka Mjeda
 
Kumbe tumeshafika Bumbui (Bumbuli) kwa akina Makamba??

Hapa lazima kamba ziwe za kutosha....

Na hadi tufike kwenye msitu mwingine wa Khande kampa...siyo leo


Lunch njema wadau!


Babu DC!!
 
Tunasubiri mkuu, ila isije ikawa ishu ya ngoja ngoja huumiza matumbo
 
33:Utendaji wangu wa kazi uliwafurahisha hawa wazungu.

Tuliongea mambo mengi kisha nikawa history yangu.

Walita uthibitisho wa ninacho kisema,nikawaambia ninazo picha,wakaziomba nikawaonyesha.

Baada ya hapo waliniuliza jee kawa wanaweza nisaidia kupata kazi?

Niliwambia yes they can na wakaniahidi niwasubili wangerudi baada ya miezi miwili,...niliendelea na shughuli zangu za kilimo cha pilipili HOHO na nyanya pale soni.

Baada ya miezi miwili wale jamaa kweli walirudi na wakanitekelezea walichoniahidi.

Walinipeleka Arusha nikaajiriwa na kampuni moja hivi ya uwindaji wa kitali ambayo ndio naifanyia kazi mpaka sasa hapa Arusha.

Siku moja nikiwa napata dinner pale maeneo ya PICNIC bar nyuma ya GOLDEN ROSE nilimuona dada mmoja mrefu kiasi mweupe(CHANGUDOA)kwa sababu nilishaoa sikua na time nae,lakini yeye alishtukia chezo na akahamasika kunisogelea.

Aliponisogelea nikamfahamu kwamba ni WITNESS shemeji yangu.

Alikua na haraka ya biashara nikaona nikimwachia sintapa taarifa alipo my best,nikamuahidi ntamchukua kwa usiku huo mpaka asbh.

Nilimuuliza bei akaniambia 30,000,nikamwambia poa akatafute chumba sehemu tofauti na mitaa hiyo ya kaloleni,

Akaniambia twende majengo mwanaume nikatii.

Sasa tumo ndani na mtoto hajanifahamu ingawa mimi tayari nimeshamfahamu,mkuki wangu uko tayari kwa kumshambulia nguruwe aliyeko mbele yangu ingawa nilijitahidi saaana kujizuia.

Nilimuuliza kama ana kondom akasema hana,nikaona no sweti sidhani kama ntapata ukimwi kwa siku1.

Mwanaume nikapiga moyo konde nimshughulikie then ndio nipate taarifa za my best.

Akaingia bafuni kuoga huku mimi nikiwa pia navua nguo ili nimfuate bafuni.................
 
Aisee mnaonaje tukamsusia kusoma stori yake???
Tena tuandamane mpaka kwa modes wampe ban.
Hawezi kutuzingua tokea jana saa 8 mpaka mda huu anatutesa tu.
 
There are currently 392 users browsing this thread. (92 members and 300 guests)
Graph inazidi kupanda, i guess hii ni thread iliyoweka record kwa siku za hivi karibuni....
hata kwenye lile jukwaa letu la siasa mambo hayawi hivi..
 
Aisee mnaonaje tukamsusia kusoma stori yake???
Tena tuandamane mpaka kwa modes wampe ban.
Hawezi kutuzingua tokea jana saa 8 mpaka mda huu anatutesa tu.

'umbea' unatusumbua mama...inabidi tuvumilie tu, maana ukisema ususie hii kitu, utasusa mwenyewe tu wengine ndo kwanza wanaendelea ku-join!!
mkuu CHAI CHUNGU naona amekuwa maarufu sana just ndan ya siku mbili tu...
 
There are currently 392 users browsing this thread. (92 members and 300 guests)
Graph inazidi kupanda, i guess hii ni thread iliyoweka record kwa siku za hivi karibuni....
hata kwenye lile jukwaa letu la siasa mambo hayawi hivi..
nimechoka mwili mzima
 
Back
Top Bottom