aiseee we kiboko nlinuna mpaka nimecheka mwenyewe
nimejikuta nimecheka pia baada ya kusoma comment yako. mjeda msanii kama Ray na Kanumba duu nmemkubali
aiseee we kiboko nlinuna mpaka nimecheka mwenyewe
Huu mwaka mwingine 2013 tunataka story za namna hii, yaani kila mara una simu mkononi? au upo kwenye laptop /Computer na uwe Online na jamii forum kumfuatilia CHAI CHUNGUHayatuhusu. This is your private business.
Hapa umechemsha bro..yaani leo ndio nimekuona boya..lolz
Wewe huoni shazi hapo chini?...kwa stori hii jisemee mwenyewe 'hayanihusu' ..usituunganishe, wengine inahusika sana....
There are currently 299 users browsing this thread. (69 members and 230 guests)
Hii riwaya ni kama zile za akina Ben R Mtobwa na Aristablus Elvis Musiba (RIP). Dah ngoja nirejee kibaruani
mwenzenu mtandao unasumbua sana na sijui kama hii nayo itakua posted au la.
mwenzenu mtandao unasumbua sana na sijui kama hii nayo itakua posted au la.
Hayatuhusu. This is your private business.
Kwenye orodha ya wanaosoma post hii hapo chini yupo, anatuchora tu tunavyoteseka kwa kusubiria amalize usimulizi wakeGademu Mjeda....gademu