Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

Nazingatia hapo kwenye "Clean and Pure".

chai ya rangi , mim Nakuamini except mfano wako wa nne .(mgumu sana😎😎😎)

Mm pia nilikuwa nina kanguvu fulan.
Mfano nilikuwa naweza kuota ndoto na zikatokea kweli,. Watu wa karibu kabla ya kufa nilikuwa naona wiki 2 au 3 kabla. Awe anaumwa au kufa gafla au ajali. Nikiota na nikimwambia Mama alikuwa anaanza kulia. Na wiki za mbele msiba unatokea kweli.
Nadhan Misiba inaweza fika 10+ kidogo niliyoiona.

pia Hiyo ya Mvua nilikuwa naweza. Na wingu likitanda nikinuia jua liwake linawaka kali ndan ya sekunde chache tu.
Kufungua milango nilikuwa naweza pia.
Kunuia kitu na kikatokea nilikuwa naweza pia.
nakumbuka form 4 niligombana na washkaj kadhaa (walikuwa wananionea bwenini na kunichezea rafu uwanjan) na nikanuia wapate zero na wote walipata. Watu kama 5 hiv 😎😎😎😎.

Na mengne meng nilinuia na yakatokea.

Na hapa sio kwamba ni dini au uchawi. Hapana. Nasema tu "Mungu naomba hivi na hivi" then unatulia na ukikumbuka unaomba tena, na baadae kinatokea.

Too Bad nimepoteza hiyo Nguvu kwa miaka Mingi sasa.

So nakuamin Bro. Hivyo vitu viko.
Huko juu wanasema uzinzi ndio unatoa hiyo nguvu shemeji
 
Sina huo uwezo sikuhizi 😂😂😂😂.

Kuna namna mwili ulikuwa una react kila nikinuia na nikiona umereact hivyo najua kabisa itatokea kweli.

Ila sasa kwa miaka mingi nikiwa naanza tu kunuia,
mwil unagoma sekund ile ile ya kwanza. Roho inakataa. Moyo unapoa na mind haifunguki.

kwahiyo kwa miaka ming sasa sijaweza fanikisha hata kunuia mazur juu yangu coz ya hiyo. Najikuta nikiomba Mungu naomba tu normal na sio kama kipind kile.

Ngoja ntarud kuwa msaf nikifika 40.
Kwa sasa dah! Bado kidogo 😎😎😎

Ntakuwa msaf ili nirudishe zile nguvu 😂😂😂🤣 au unanishaurije? win-one
Hizo nguvu zilianza kupotea ukiwa na umri gani au ni kipindi gani ulianza kuona kupotea hizo nguvu?
 
Mimi tangu mdogo nina uwezo wa kujua yajayo
Mpaka leo hii
Najua kabisa kesho itakuaje
Najua vifo vya watu
Mara nyingi kupitia ndoto
Na mara nyingi hisia tu

Moaka leo
Kwenye ajali ya meli ya Titanic kuna watu walighairi kusafiri katika safari ya meli hiyo siku chache au muda mchache kabla ya safari.
Wengi walieleza walifanya hivyo kutokana na ndoto za ajabu, hisia za wasiwasi na hofu zisizoelezeka.

Wapo waliyokuwa wakiota ndoto za ajali ya meli ikawafanya kuingiwa na hofu, wapo waliyoota kabisa meli ya titanic ikipata ajali hali hiyo ikawafanya wabadili meli nyengine, wapo waliyojikuta wamepata tu hisia za kughairisha safari bila hata kuwa na sababu yeyote.
 
Kwenye ajali ya meli ya Titanic kuna watu walighairi kusafiri katika safari ya meli hiyo siku chache au muda mchache kabla ya safari.
Wengi walieleza walifanya hivyo kutokana na ndoto za ajabu, hisia za wasiwasi na hofu zisizoelezeka.

Wapo waliyokuwa wakiota ndoto za ajali ya meli ikawafanya kuingiwa na hofu, wapo waliyoota kabisa meli ya titanic ikipata ajali hali hiyo ikawafanya wabadili meli nyengine, wapo waliyojikuta wamepata tu hisia za kughairisha safari bila hata kuwa na sababu yeyote.
Hivi hizo hisia ndo roho mtakatifu
 
Hii ni story yangu na nitatoa na mifano ya vitu nilivyowahi kufanya. Watu wengi hawakujua, lakini kuna matukio kadhaa yaliyotokea nikiwa mtoto ambayo hayakuwa ya kawaida kabisa. Haikuwa mara moja ilikuwa vitu ambavyo vilitokea mbele ya watu wengine pia.

Mfano wa kwanza ulikuwa mvua.

Kuna siku anga lilikuwa wazi kabisa. Hakukuwa na dalili ya mvua hata kidogo. Nilisimama nje nikaangalia juu halafu nikasema tu mvua inyeshe. Baada ya muda mfupi, mawingu yakaanza kukusanyika polepole, upepo ukabadilika, halafu mvua ikanesa. Watu walishangaa lakini hawakujua nini kilitokea dakika chache kabla.

Mfano wa pili ulitokea nyumbani.

Kuna siku taa ya chumbani ilikuwa imeharibika kabisa, haikuwaka hata kidogo. Watu walijaribu kuigusa mara kadhaa bila mafanikio. Nilishika tu swichi nikasema iwake, na ghafla taa ikawaka kama kawaida.

Watu walikaa kimya kwa muda.

Mfano wa tatu ulitokea nilipokuwa nje nacheza.

Kulikuwa na kitu kidogo nilichokuwa nacho mkononi kama sarafu. Niliitupa juu halafu kwa sekunde chache ilikaa hewani bila kuanguka mara moja. Ilikuwa kama imesimama kidogo hewani kabla haijarudi chini. Watu wawili waliokuwa karibu waliona hilo.

Walishangaa sana.

Mfano wa nne ndio uliwashangaza zaidi watu wazima.

Kulikuwa na glasi iliyoanguka na kuvunjika vipande vipande. Nilivikusanya vile vipande nikaviweka pamoja, nikavishika kwa mikono yangu kwa sekunde chache… halafu vile vipande vilikaa pamoja tena kama havikuvunjika kabisa.

Watu waliokuwa pale hawakuongea kwa muda.

Na mfano wa tano ndio ulionifanya nijue uwezo huo ulikuwa wa kweli.

Nikikia na uwezo wa kufungua madirisha au milango kwa kuiangalia tu kwa macho na kuifikiria ikiwa inafunguka au kufunga nayo inafanya hivyohivyo kama nilivyoifikiria akilini.

Baada ya hapo, mambo hayo yalianza kupungua polepole kadri nilivyokuwa nakua.

Mpaka sasa ni nadra naona kama yamepotea.

Lakini ukweli ni kuwa…
nilipokua mdogo miujiza ilikuwa inatokea mbele yangu, na wakati mwingine mikononi mwangu kabisa.

Bhangi si kitu cha kuchezea. Kuna wakati nami nlikuwa navuta nikawa naweza kufanya miujiza mikubwa sana.
 
Nazingatia hapo kwenye "Clean and Pure".

chai ya rangi , mim Nakuamini except mfano wako wa nne .(mgumu sana😎😎😎)

Mm pia nilikuwa nina kanguvu fulan.
Mfano nilikuwa naweza kuota ndoto na zikatokea kweli,. Watu wa karibu kabla ya kufa nilikuwa naona wiki 2 au 3 kabla. Awe anaumwa au kufa gafla au ajali. Nikiota na nikimwambia Mama alikuwa anaanza kulia. Na wiki za mbele msiba unatokea kweli.
Nadhan Misiba inaweza fika 10+ kidogo niliyoiona.

pia Hiyo ya Mvua nilikuwa naweza. Na wingu likitanda nikinuia jua liwake linawaka kali ndan ya sekunde chache tu.
Kufungua milango nilikuwa naweza pia.
Kunuia kitu na kikatokea nilikuwa naweza pia.
nakumbuka form 4 niligombana na washkaj kadhaa (walikuwa wananionea bwenini na kunichezea rafu uwanjan) na nikanuia wapate zero na wote walipata. Watu kama 5 hiv 😎😎😎😎.

Na mengne meng nilinuia na yakatokea.

Na hapa sio kwamba ni dini au uchawi. Hapana. Nasema tu "Mungu naomba hivi na hivi" then unatulia na ukikumbuka unaomba tena, na baadae kinatokea.

Too Bad nimepoteza hiyo Nguvu kwa miaka Mingi sasa.

So nakuamin Bro. Hivyo vitu viko.
Hundred percent correct, especially hiyo when someone have beef with you yaani unanuia na majanga yanamkuta. Ni vigumu kueleweka mpaka mtu awe amei-experience.
 
Wewe upo kama mimi .Mimi ges ilikuwa ikiisha napiga tu maombi gesi inajaa.Aione kwenye jalada Tony Kapola.
 
Hii ni story yangu na nitatoa na mifano ya vitu nilivyowahi kufanya. Watu wengi hawakujua, lakini kuna matukio kadhaa yaliyotokea nikiwa mtoto ambayo hayakuwa ya kawaida kabisa. Haikuwa mara moja ilikuwa vitu ambavyo vilitokea mbele ya watu wengine pia.

Mfano wa kwanza ulikuwa mvua.

Kuna siku anga lilikuwa wazi kabisa. Hakukuwa na dalili ya mvua hata kidogo. Nilisimama nje nikaangalia juu halafu nikasema tu mvua inyeshe. Baada ya muda mfupi, mawingu yakaanza kukusanyika polepole, upepo ukabadilika, halafu mvua ikanesa. Watu walishangaa lakini hawakujua nini kilitokea dakika chache kabla.

Mfano wa pili ulitokea nyumbani.

Kuna siku taa ya chumbani ilikuwa imeharibika kabisa, haikuwaka hata kidogo. Watu walijaribu kuigusa mara kadhaa bila mafanikio. Nilishika tu swichi nikasema iwake, na ghafla taa ikawaka kama kawaida.

Watu walikaa kimya kwa muda.

Mfano wa tatu ulitokea nilipokuwa nje nacheza.

Kulikuwa na kitu kidogo nilichokuwa nacho mkononi kama sarafu. Niliitupa juu halafu kwa sekunde chache ilikaa hewani bila kuanguka mara moja. Ilikuwa kama imesimama kidogo hewani kabla haijarudi chini. Watu wawili waliokuwa karibu waliona hilo.

Walishangaa sana.

Mfano wa nne ndio uliwashangaza zaidi watu wazima.

Kulikuwa na glasi iliyoanguka na kuvunjika vipande vipande. Nilivikusanya vile vipande nikaviweka pamoja, nikavishika kwa mikono yangu kwa sekunde chache… halafu vile vipande vilikaa pamoja tena kama havikuvunjika kabisa.

Watu waliokuwa pale hawakuongea kwa muda.

Na mfano wa tano ndio ulionifanya nijue uwezo huo ulikuwa wa kweli.

Nikikia na uwezo wa kufungua madirisha au milango kwa kuiangalia tu kwa macho na kuifikiria ikiwa inafunguka au kufunga nayo inafanya hivyohivyo kama nilivyoifikiria akilini.

Baada ya hapo, mambo hayo yalianza kupungua polepole kadri nilivyokuwa nakua.

Mpaka sasa ni nadra naona kama yamepotea.

Lakini ukweli ni kuwa…
nilipokua mdogo miujiza ilikuwa inatokea mbele yangu, na wakati mwingine mikononi mwangu kabisa.
Haruuu... hebu jaza akaunti yangu mipesa!
 
Kurudi sidhani kama ni rahisi, back in the day nilikuwa na uwezo wa ku predict kinachokuja kutokea mbele yangu yaani sometimes images kabisa naziona. Sixth sense I mean ambayo kwa sasa kwangu imepotea, maisha ya deals kama unaweza ku sense 💰 au ku sense danger huwa ni faida sana lakini ikipotea hiyo ni songombingo tupu kwenye harakati husika.
Nilishawahi kuuliza sababu ya nguvu za aina hiyo kuwepo(normally I don't believe in things that cannot be proved scientifically so this is a tag of war within me) nikaambiwa kuwa you only possess those kinds of powers when you are 'clean and pure'.
Kwa hiyo umeukataa u-clean n pure?
 
Nazingatia hapo kwenye "Clean and Pure".

chai ya rangi , mim Nakuamini except mfano wako wa nne .(mgumu sana😎😎😎)

Mm pia nilikuwa nina kanguvu fulan.
Mfano nilikuwa naweza kuota ndoto na zikatokea kweli,. Watu wa karibu kabla ya kufa nilikuwa naona wiki 2 au 3 kabla. Awe anaumwa au kufa gafla au ajali. Nikiota na nikimwambia Mama alikuwa anaanza kulia. Na wiki za mbele msiba unatokea kweli.
Nadhan Misiba inaweza fika 10+ kidogo niliyoiona.

pia Hiyo ya Mvua nilikuwa naweza. Na wingu likitanda nikinuia jua liwake linawaka kali ndan ya sekunde chache tu.
Kufungua milango nilikuwa naweza pia.
Kunuia kitu na kikatokea nilikuwa naweza pia.
nakumbuka form 4 niligombana na washkaj kadhaa (walikuwa wananionea bwenini na kunichezea rafu uwanjan) na nikanuia wapate zero na wote walipata. Watu kama 5 hiv 😎😎😎😎.

Na mengne meng nilinuia na yakatokea.

Na hapa sio kwamba ni dini au uchawi. Hapana. Nasema tu "Mungu naomba hivi na hivi" then unatulia na ukikumbuka unaomba tena, na baadae kinatokea.

Too Bad nimepoteza hiyo Nguvu kwa miaka Mingi sasa.

So nakuamin Bro. Hivyo vitu viko.
Daah! Watu mna nguvu nyingi mme-take for granted 🙄
 
Back
Top Bottom