Nazingatia hapo kwenye "Clean and Pure".
chai ya rangi , mim Nakuamini except mfano wako wa nne .(mgumu sana😎😎😎)
Mm pia nilikuwa nina kanguvu fulan.
Mfano nilikuwa naweza kuota ndoto na zikatokea kweli,. Watu wa karibu kabla ya kufa nilikuwa naona wiki 2 au 3 kabla. Awe anaumwa au kufa gafla au ajali. Nikiota na nikimwambia Mama alikuwa anaanza kulia. Na wiki za mbele msiba unatokea kweli.
Nadhan Misiba inaweza fika 10+ kidogo niliyoiona.
pia Hiyo ya Mvua nilikuwa naweza. Na wingu likitanda nikinuia jua liwake linawaka kali ndan ya sekunde chache tu.
Kufungua milango nilikuwa naweza pia.
Kunuia kitu na kikatokea nilikuwa naweza pia.
nakumbuka form 4 niligombana na washkaj kadhaa (walikuwa wananionea bwenini na kunichezea rafu uwanjan) na nikanuia wapate zero na wote walipata. Watu kama 5 hiv 😎😎😎😎.
Na mengne meng nilinuia na yakatokea.
Na hapa sio kwamba ni dini au uchawi. Hapana. Nasema tu "Mungu naomba hivi na hivi" then unatulia na ukikumbuka unaomba tena, na baadae kinatokea.
Too Bad nimepoteza hiyo Nguvu kwa miaka Mingi sasa.
So nakuamin Bro. Hivyo vitu viko.