Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

Nilipokuwa mdogo nilikuwa na uwezo wa kufanya Miujiza

Hii ni kweli kabisa. Mara nyingi dhambi ndio zinawatoa watu kwenye reli. Hata mimi nikiwa mdogo nilikuwa nafanya kwa kusema tu, purely miujiza. Mimi naukumbuka wa kukata mvua ilikuwa kama mvua inanyesha nikiiambie ikatike vile namaliza kusema moyoni tu imekatika na nikisema nyesha inaanza tena. Lakini baada ya kukua hilo halipo tena. Kipindi kile nilikuwa clean and pure sina makandokando yoyote, moyo safi. Lakini sasa ni Mungu tu atusaidie.
Tunapokuwa tunaanza kufikiri kwa kutumia mantiki zaidi na ndivyo jamii inavyotaka ndio maana hata hapa utaona watu jinsi wanavyopokea hayo mnayoeleza humu kwa kuona kama ni kuchanganiyikiwa tu, hivyo unapokuwa unakutana na ukosoaji na unajikuta pia unajenga hali ya kujitilia mashaka mwenyewe.
Kwahiyo mwishoni unajikuta unakandamiza huo uwezo na kuupoteza.
 
Hii ni kweli kabisa. Mara nyingi dhambi ndio zinawatoa watu kwenye reli. Hata mimi nikiwa mdogo nilikuwa nafanya kwa kusema tu, purely miujiza. Mimi naukumbuka wa kukata mvua ilikuwa kama mvua inanyesha nikiiambie ikatike vile namaliza kusema moyoni tu imekatika na nikisema nyesha inaanza tena. Lakini baada ya kukua hilo halipo tena. Kipindi kile nilikuwa clean and pure sina makandokando yoyote, moyo safi. Lakini sasa ni Mungu tu atusaidie.
IMG_20260326_073150.jpg

🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwanini mkuu
Sababu ki uhalisia na nature ya dunia yetu hakuna kitu kinatokea kimiujiza
Mfano huwezi sema 'mvua nyesha' msimu was kiangazi
Hii dunia Ina mpangilio wake na upo hivo Sasa yeye anawezaje kuubadili?

Ana shida kichwani!
 
Sijajua kwanini watu kwenye huu uzi wanabisha?kweli watanzania ubishi ni jadi kabisa,watu kana hawa wapo kwenye jamii weng tu na wengi hawajionyeshi..Binafsi ni kama mleta mda tu,nilivyokuwa mdogo niliweza kuviona vifo vya wapendwa na majiran na watu ninaowafahamu kwa kuota ndotoni tu na hili ndugu zangu wote wanalijua..Ilikuwa naota either mtu anazikwa au tupo msibani baada ya siku chache ni kweli yule mtu anafariki, niluvyokuwa nakuwa uwezo huo ukaendelea kupungua.Kwa sasa naota lakini kwa namna ya tofauti either naota mtu nsiyemfahamu amefariki au naota nimeona mnyama amefariki baada ya siku chache naskia msiba ninaoufahamu hii ni tofauti na zamani,zamanj nilikuwa namuona mtu specific akiwemo mama yangu mzazi.
 
Sijajua kwanini watu kwenye huu uzi wanabisha?kweli watanzania ubishi ni jadi kabisa,watu kana hawa wapo kwenye jamii weng tu na wengi hawajionyeshi..Binafsi ni kama mleta mda tu,nilivyokuwa mdogo niliweza kuviona vifo vya wapendwa na majiran na watu ninaowafahamu kwa kuota ndotoni tu na hili ndugu zangu wote wanalijua..Ilikuwa naota either mtu anazikwa au tupo msibani baada ya siku chache ni kweli yule mtu anafariki, niluvyokuwa nakuwa uwezo huo ukaendelea kupungua.Kwa sasa naota lakini kwa namna ya tofauti either naota mtu nsiyemfahamu amefariki au naota nimeona mnyama amefariki baada ya siku chache naskia msiba ninaoufahamu hii ni tofauti na zamani,zamanj nilikuwa namuona mtu specific akiwemo mama yangu mzazi.
Kwa sasa ndoto unaletewa kwa mafumbo ni tofauti na ulivyokuwa mdogo, hapo ukiweza kufuatilia hizo symbols katika ndoto zako na ukazielewa tafsiri zake kwako basi itakuwa rahisi kwako kuweza kufahamu maana ya ujumbe uliyo katika hizo ndoto zako.
 
Kwa sasa ndoto unaletewa kwa mafumbo ni tofauti na ulivyokuwa mdogo, hapo ukiweza kufuatilia hizo symbols katika ndoto zako na ukazielewa tafsiri zake kwako basi itakuwa rahisi kwako kuweza kufahamu maana ya ujumbe uliyo katika hizo ndoto zako.
yeah ndio ilivyo kwa sasa,ni mpk ntulie au jambo mpaka litokee ndio nakumbuka na kuanza kuunganisha matukio ya ile ndoto na kilichotokea tofauti na zamani ilikuwa ni direct naona tukio.Nadhani kuzinizini huku kunafunga vitu vingi sana kwenye nafsi za watu
 
yeah ndio ilivyo kwa sasa,ni mpk ntulie au jambo mpaka litokee ndio nakumbuka na kuanza kuunganisha matukio ya ile ndoto na kilichotokea tofauti na zamani ilikuwa ni direct naona tukio.Nadhani kuzinizini huku kunafunga vitu vingi sana kwenye nafsi za watu
Hapana mkuu wala sio suala la kuzini wala dhambi na kama hiyo ingekuwa ndio sababu basi hata hizo ndoto usingepata kabisa, ndoto kuwa katika mafumbo ni kawaida. Sema changamoto ndio hiyo kwa ndoto zenye kuonyesha matukio yajayo inakuwa ngumu kidogo kuweza kujua maana ya ujumbe wa hiyo ndoto hadi pale tukio linapotokea ndio unaonganisha matukio, ni hali ambayo hata mie ni hivyo hivyo pia.
 
Back
Top Bottom