Nilimwambia atakufa akafa kweli

Nilimwambia atakufa akafa kweli

Naomba nikuulize mshana ukijibu vizuri itakuwa vema ila usipo nijibu bas huna budi kufuta huu Uzi sio lazima lakini.Unahisi ni kwa nn alikufa? Ni baada ya ww kumwambia vile au?

Sent using Iphone 7+
Kwanza niseme wazi wazi kwamba siwezi kukujibu vibaya! Pili siwezi kuguarantee kama kifo chake kilitokana na matamshi yangu ... Mimi siko hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana hivi yule Ras nyoka hajakufuata tena? Maana yule ndo kiboko yako hao wengine hawakuwezi
 
Ohooo... ishaanza kula kwangu...

Ngoja kwanza nifanye sala ya Toba

Sakayo njoo mama... upepo umeharibika huku...
Yeeeduuu

Na wewe umetibua wapiii tenaaa... Mshana please Msamehe babu keshazeeka ujue tunasubiri tukufwe wenyewe...
 
Back
Top Bottom