Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 585
- 1,164
Chezea mbususu wewe? Hatareee!
Kwa nn hukutafuta usafiri ww mwenyewe?Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake,
Ni kicheche anaonekanaHana swaggar wala vibe?
Huwa zinategemea aise labda kama mtu hajielewi, mtu mwenye utimamu hakuna kuliwa kimasihara!Hisia zinajengwa
Naomba address yako, kuna jambo tunaweza kuzungumza. Naona una kitu potential sana hapo ulipo ila hujaanza kukitumiaKwa tabia yake aliyonionyesha zisingeweza kujengeka
Muda ulikuwa umeshaenda maana alikuwa ananizuia kuondokaKwa nn hukutafuta usafiri ww mwenyewe?
UPo sahihiHuwa zinategemea aise labda kama mtu hajielewi, mtu utimamu hakuna kuliwa kimasihara!
Vipi anakuja tena ofini kwako?Alinitoa kwenye mood
Sina lolote mie😂😂Naomba address yako, kuna jambo tunaweza kuzungumza. Naona una kitu potential sana hapo ulipo ila hujaanza kukitumia
Unataka ukajaribu bahati yako?😛Naomba address yako, kuna jambo tunaweza kuzungumza. Naona una kitu potential sana hapo ulipo ila hujaanza kukitumia
Hajaja muda mrefu, ila amenipigia leo na kunitumia meseji, ofisini atakuja tu ila atanikasirikiaVipi anakuja tena ofini kwako?
AiseeMuda ulikuwa umeshaenda maana alikuwa ananizuia kuondoka
😂😂😂unawapelekaga wapiMimi kwangu mwanamke hajawahi ingia mwaka wa 9 huu.
Sijui naelekea wapi wakuu
Naomba address yako, hakika hutojutia.Sina lolote mie😂😂
😂😂😂Unataka ukajaribu bahati yako?😛
Una umri gani my daughter?Mshenzi sana huyu kijana kwanini hakuomba tangu sijafika si wenzie ndiyo huwa wanafanyaga hivyo
Akhuuu😂😂😂 naijua hiyoNaomba address yako, hakika hutojutia.
Wanakuwaga wapole na aibu, hapo hapo ungekubali unaambiwa cheapHajaja muda mrefu, ila amenipigia leo na kunitumia meseji, ofisini atakuja tu ila atanikasirikia