Alaa kumbeMimi nitaongozana na Mrs, hivyo jumla tutakuwa wa3 na she will be safe too.
Alaa kumbeMimi nitaongozana na Mrs, hivyo jumla tutakuwa wa3 na she will be safe too.
Mimi nimemsamehe tuMpeleke ustawi wa Jamii, au muite Waziri Gwajima akupe mwongozo.
Wewe mtu mbaya sana mkuuMe geto kwangu ni lupaso hatoki mtu
Huwa hatumii JF anatumia tiktok😂😂Ungeliwa kimasihara then mwamba apandishe uzi kule kwenye tunda kimasihara
Asante sana mkuuPole sana
Mlipumzika dakika ya ngapi? 😹Binadamu wa siku hizi ni wabishi sana😂😂
Asante mkuu siwezi kwenda tenaPole Sana mkuu siku nyingine usipende kwenda kwa wanaume
Mzigo haujaliwa kizembe hivyo mkuuKuna kila dalili alikula mzigo
Hata simu zake sipokeiMAINTAIN SOCIAL DISTANCE
![]()
mkiendelea kukaa karibu
Episode 2 itaendelea
With another new thread ingn ikipostiwa
😂😂😂😂kumbe wanazifuga hadi za huko duhMlipumzika dakika ya ngapi? 😹
Wote vichaka mlifyeka au ndio shanga zilikamata nyasi..??
Ungeombwa ungempa😄😄Mshenzi sana huyu kijana kwanini hakuomba tangu sijafika si wenzie ndiyo huwa wanafanyaga hivyo
Mie ningekupiga mpapaso wa hatare na bembelezo hujawahi pewa ningekukula tuuuuu, sema jamaa hajui kubembeleza, Yani ningekunyonya mpaka mate maaaamae usingechomoka bure na lazma skuingine ungetaka turudie shoo mwenyeweKuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.
Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.
Ikatokea siku akanialika kwake nikitoka kazini, kwakuwa siyo mbali na ofisini kwetu nilivyotoka nikaenda, tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani weee hapa nilibadilika nikawa mbogo, maana mimi sikujia hayo mambo iweje atake kunibaka bila ridhaa yangu kisa nimekuja kwake ndiyo aone kuwa nimekubali kila kitu.
Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake, tangu hiyo siku nimetoka sijapokea simu yake wala kujibu meseji zake, nimemuona ni mwanaume wa hovyo sana tangu lini mapenzi yakalazimishwa? Mwache mwanamke akupe kwa kuridhia mwenyewe.
Wapo lakini wanaume wanaojielewaWanawake bana 😄! Mwanaume sio ndugu yako eti anakualika uende nyumbani kwake yuko peke yake na wewe unakubali ati ni rafiki yako hahaha! Unaingia ndani mko wawili tu, mnapika mnakula halafu unakuja kushangaa eti kukuomba mzigo ulitegemea nini kwa mazingira hayo?? Acheni kujifanya hamtaki mnavyovitaka
Kwahiyo wewe huwezi kuwa na urafiki na mwanamke?Wanawake bana 😄! Mwanaume sio ndugu yako eti anakualika uende nyumbani kwake yuko peke yake na wewe unakubali ati ni rafiki yako hahaha! Unaingia ndani mko wawili tu, mnapika mnakula halafu unakuja kushangaa eti kukuomba mzigo ulitegemea nini kwa mazingira hayo?? Acheni kujifanya hamtaki mnavyovitaka
BLOCK KABISAHata simu zake sipokei
Una bahati ingekuwa ni mimi ningekula mzigo,wengine unaforce tu akikolea anakupanulia zoteMzigo haujaliwa kizembe hivyo mkuu