Pythagoras
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,334
- 6,121
tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani
tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani
Hayo utajua mwenyewe, we zingatia Sentensi "Fimbo ya Muwa haidumu italiwa tu."Kwakupenda mwenyewe na siyo kufosiwa
Huo sio ubakaji unaitwa kimasihara yani Ile shwaa umeliwa bila kutegemeaKwahiyo unasapoti ubakaji?
Kila siku wewe tu ndio wanakutaka ila huwataki.Kuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.
Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.
Ikatokea siku akanialika kwake nikitoka kazini, kwakuwa siyo mbali na ofisini kwetu nilivyotoka nikaenda, tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani weee hapa nilibadilika nikawa mbogo, maana mimi sikujia hayo mambo iweje atake kunibaka bila ridhaa yangu kisa nimekuja kwake ndiyo aone kuwa nimekubali kila kitu.
Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake, tangu hiyo siku nimetoka sijapokea simu yake wala kujibu meseji zake, nimemuona ni mwanaume wa hovyo sana tangu lini mapenzi yakalazimishwa? Mwache mwanamke akupe kwa kuridhia mwenyewe.
Yaani Acha tu mkuuKuku kapona kisu.
Mimi ni lijike, msongo wa mawazo hata sinaKila siku wewe tu ndio wanakutaka ila huwataki.
Itakuwa unapitia msongo wa mawazo unakuja apa kupata kampani au wewe ni Lidume.
Hata usingefanikiwa nakwambiaAnakaa mwenyewe ukaingia hadi ndani? Una bahati sikua mimi.... Ningeilomba vizuri tu na wakati mwingine ungerudi mwenyewe
Sina umriHapana hatufanyi hivyo, sisi watu wazima ukiitwa geto ukienda huwa ushakubali kubanjuliwa sasa huo wako wewe ni utoto, kwani una umri gani tuanzie hapo kwanza
Duh! Hatari sanaWewe wala usimfanyie papara huyu atarudi mwenyewe nakuhakikishia, na mara hii ataondoka na mimba kudadeki
Mh! Hii hatari sanaHapo naona jamaa hakupenyeza rupia mapema, yote haya tusingeliyajua, hata mimi mwanamke yeyote aliyekuwa sio maharim yangu akiingia geto simwachi, labda asitake mwenyewe tu kutombwa, vyenginevyo nakupelekea moto vizuri japo siwezi kukufosi kama hutaki. Na ukikataa hautarudi tena nyumbani kwangu kwa sababu utakuwa umenifanyia ukatili mkubwa sana kuninyima papa yako.
Ungerusha kucha au ungening'ata?Hata usingefanikiwa nakwambia
Nimejifunza sitarudia tena wakati mwingineNa ungeliwa kweli!
Next time usirudie hata kwa mwanaume mwingine yeyote.
Ningekutoboa toboa na kuchaUngerusha kucha au ungening'ata?
Siku nyingine ntajiongeza ntakuja kuwapa na mrejesho 😎Madem kama nyie huwa siwa intertain. Nakupa hii, Hakuna ME atajenga ukaribu na wew wa kimawasiliano kama hataki Kitumbja chako, full stop. Kama hutaki kuliwa acha ukaribu na mtu.
Wew pia ni ile type ya videm havina akili😀 umenikera, unakulaje kitimoto cha mtu, upande gari lake, uende kwake, apo unashindwa kujiongeza nini apo, Uwe unajiongeza basi🤣
Our balls are full often, they need to be emptied 🤔
Ningeingia kwenye list ya kuliwa kimasihara kumbeHuo sio ubakaji unaitwa kimasihara yani Ile shwaa umeliwa bila kutegemea
Na kuliwammmh! kwaiyo mkala na kunywaaa eeeh... 😜
C.c Mama Ndege .. tena aliikaliaNa kuliwa
Alininyanyua juuAlikubebaje kukupeleka chumbani?