kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,099
- Thread starter
- #521
😂😂😂😂😂amekubali mwenyewe au umembaka?Nimefanikiwa kimasihara sasa nipo nampeleka kwao akapumziike😁😁
😂😂😂😂😂amekubali mwenyewe au umembaka?Nimefanikiwa kimasihara sasa nipo nampeleka kwao akapumziike😁😁
Alianza kama wewe mwisho akapoa😂😂😂😂😂amekubali mwenyewe au umembaka?
Huyo haji tena siku nyingine😂😂Alianza kama wewe mwisho akapoa
Kaondoka amefurahi kishenziHuyo haji tena siku nyingine😂😂
Ila wabakaji mpo wengi sana hapa Duniani alafu baada uje ukatae mimba😎Kaondoka amefurahi kishenzi
Huna akiliKuna kijana alikuja kupata huduma ofisini kwetu akawa amechukua namba yangu yeye ana ofisi yake huko town anauza viatu vya kike.
Mwanzoni alikuwa mpole tukawa tunawasiliana vizuri tu, kwa vile ana ofisi yake nikajua atanipa ushauri mzuri wa biashara na kujiajiri hivyo nikawa nimemuamini, na kumchukulia kama kaka au rafiki wa kiume.
Ikatokea siku akanialika kwake nikitoka kazini, kwakuwa siyo mbali na ofisini kwetu nilivyotoka nikaenda, tukakaa tukapiga story tukala chakula, baada ya hapo nashangaa mtu mara anisogelee atake kunishika, akaninyanyua kanipeleka chumbani weee hapa nilibadilika nikawa mbogo, maana mimi sikujia hayo mambo iweje atake kunibaka bila ridhaa yangu kisa nimekuja kwake ndiyo aone kuwa nimekubali kila kitu.
Tulivutana sana hiyo siku nakumbuka, mimi hadi nimefura kwa hasira ndiyo kumlazimisha akanipeleka home maana ana usafiri wake, tangu hiyo siku nimetoka sijapokea simu yake wala kujibu meseji zake, nimemuona ni mwanaume wa hovyo sana tangu lini mapenzi yakalazimishwa? Mwache mwanamke akupe kwa kuridhia mwenyewe.
Yule anaonekana ni mgumbaIla wabakaji mpo wengi sana hapa Duniani alafu baada uje ukatae mimba😎
Kwanini unasema hivyo mkuu?Yule anaonekana ni mgumba
Ni jokes mkuu____don take serious 😁Kwanini unasema hivyo mkuu?
Haya, usikatae mimba lakini 😎Ni jokes mkuu____don take serious 😁
Nasubir after week nimuite aje home tujadili kuhusu biashara ya viatu😁Haya, usikatae mimba lakini 😎
Na ungeliwa kweli!Mimi nimeshangaa sana huyu kijana kwanza anaonekana ana mademu kibao nikajua mimi atanichukulia kama mdogo wake tu loh! Kumbe alikuwa ananipigia mahesabu nikimaliza kula kitimoto anile na mimi
It is the last sentence for me oooh 🤣🤣Madem kama nyie huwa siwa intertain. Nakupa hii, Hakuna ME atajenga ukaribu na wew wa kimawasiliano kama hataki Kitumbja chako, full stop. Kama hutaki kuliwa acha ukaribu na mtu.
Wew pia ni ile type ya videm havina akili😀 umenikera, unakulaje kitimoto cha mtu, upande gari lake, uende kwake, apo unashindwa kujiongeza nini apo, Uwe unajiongeza basi🤣
Our balls are full often, they need to be emptied 🤔
Wewe wala usimfanyie papara huyu atarudi mwenyewe nakuhakikishia, na mara hii ataondoka na mimba kudadekiLakini na nyie mnazingua! Eti nilimuona kama kaka yangu au rafiki wa kiume ... nilienda anipe ushauri wa jinsi ya kujiajiri.... Mweeeh! Hakuna kitu kama hicho. Nyote mlizingua! Na yeye angekuandaa na kuchukulia fursa kutega nyavu akunase kimasihara! Ona sasa, kamwaga mboga, wewe ugali! Mmekosa nyote!![]()
Hapana hatufanyi hivyo, sisi watu wazima ukiitwa geto ukienda huwa ushakubali kubanjuliwa sasa huo wako wewe ni utoto, kwani una umri gani tuanzie hapo kwanzaMshenzi sana huyu kijana kwanini hakuomba tangu sijafika si wenzie ndiyo huwa wanafanyaga hivyo