mwemyeweee rahaaaa 😅😅Alininyanyua juu
mwemyeweee rahaaaa 😅😅Alininyanyua juu
Public place ndo ilitakiwa, sii kwakeNilienda kubadilishana naye mawazo
Siku nyingine ntafanya hivyoPublic place ndo ilitakiwa, sii kwake
Mwanamke ukienda kwa mwanaume anaeishi pekeake na hujalika shukuru Mungu🤣Siku nyingine ntafanya hivyo
Nawewe umeamini kila alichosema.Polee sana Mkuu, kikubwa hukufanyiwa ukatili huo
Mwanetu amefeli pakubwa ametuaibisha mabahariaNingeingia kwenye list ya kuliwa kimasihara kumbe
Mmmh 😎 sitaki kujua nimempa tu poleNawewe umeamini kila alivyosema.
Alikubali vipi kubebwa hadi chumbani?
Na ibakie hivyo tu. Tumpe pole.Mmmh 😎 sitaki kujua nimempa tu pole
NdiyoNa ibakie hivyo tu. Tumpe pole.

Kwani kuna shida marafiki kutembeleana?Yaani kabisa uende kwenye gheto la mwanaume,,![]()
Shida si ndo hiyo imekutokea au? ...Kwani kuna shida marafiki kutembeleana?
Nimejifunza sitarudia tena mkuu?Shida si ndo hiyo imekutokea au? ...
anything can happen any time ukiwa na mwanaume peke yenu unless ni baba au kaka yako wa kuzaliwa because just a small glimpse can turn a man on..
Point No 3 mama, alijiridhisha kwamba hawezi kupewa utelezi kutoka kwako BUT the guy was so nice, alikupeleka kwako kiroho safi kabisa. Sina hakika kwenye gari mlikua mnaongeaje au mlikua kama mabubu.Hayo mambo mazuri aliyafanya kwasababu alihitaji kunitafuna, na pia hiyo connection hata sikupata na kwasasa sitaki mawasiliano naye tena
Siwezi kuwa na urafiki na mtu mwenye tamaa ya ngonoPoint No 3 mama, alijiridhisha kwamba hawezi kupewa utelezi kutoka kwako BUT guy was so nice, alikupeleka kwako kiroho safi kabisa. Sina hakika kwenye gari mlikua mnaongeaje au mlikua kama mabubu.
Mwishoni mwa siku, sitashangaa nikisikia mmekua marafiki wa kubwa huko mbeleni; mapenzi kitu cha ajabu sana
Kwanini unadhani ana tamaa ya NGONO na sio kukupenda wewe?Siwezi kuwa na urafiki na mtu mwenye tamaa ya ngono
Matendo yake yameonyesha hivyoKwanini unadhani ana tamaa ya NGONO na sio kukupenda wewe?