Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

Bado umeniacha njiani, mimi bado najiuliza alikubeba kukupeleka chumban kwake, yaan ukakubali kabisa kubebwa!😇 Kuna namna ulikuwa dilema, kwa akili ya kijasusi ulipokuwa seblen ulikuwa 70% kukubali ila ulipofika chumban ndo akili ikakurud ukajikuta unakataa
Nilikataa since sebuleni sema akawa amefosi kunibeba
 
Kwanini baada ya kukuacha usingemuonea huruma!!?

Unafikiri uanaume ni kuwa humble!!?Mungu hakuumba mamamlia was kiume awe mtulivu hivyo!!

Aliona aibu kuiomba kwa mdomo akatengeneza mazingira ya kuila !!

Pole yake jamaa!na wewe pole yako kwa kutouelewa urijali!
 
Kama haumpendi mtu usiende geto kwake. Hakuna urafiki wa watu walio balehe na mavuzeeeerrrr kibao
Hiiumeijibu Kimila.sana hadi nimecheka, kwa tamaduni za Kiafrica hasa..hakuna ukaribu wa mwanamke na mwanaume wasio ndugu tena wajifungie ndani.

Ki mtazamo wa kisasa yote yanawezekana kukaa pamoja bila jambo as far as nwanamke haja consent umfanyie jambo!
 
Kwanini baada ya kukuacha usingemuonea huruma!!?

Unafikiri uanaume ni kuwa humble!!?Mungu hakuumba mamamlia was kiume awe mtulivu hivyo!!

Aliona aibu kuiomba kwa mdomo akatengeneza mazingira ya kuila !!

Pole yake jamaa!na wewe pole yako kwa kutouelewa urijali!
Hakunivutia na matendo yake yalinitoa kwenye mood
 
Nje asingekubali kukaa usiku ule
Nasikitika huku I handle ile situation vizuri!!!

Kuna Ile NO bila kuumiza feelings zake yaani anajiona Bado ana thamani!hapo ulimchukulia Kila kitu,ulimwibia juhudi zake zote alizowekeza kwenye utu !ujana wake wote!!

Psychologist wanaelewa hiyo!
 
Nasikitika huku I handle ile situation vizuri!!!

Kuna Ile NO bila kuumiza feelings zake yaani anajiona Bado ana thamani!hapo ulimchukulia Kila kitu,ulimwibia juhudi zake zote alizowekeza kwenye utu !ujana wake wote!!

Psychologist wanaelewa hiyo!
Siku nyingine atajifunza kuwa mstaarabu kwenye miili ya watu
 
Back
Top Bottom