kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,388
- 16,177
- Thread starter
- #461
Asante sana mkuu, nilikuwa napenda sana somo la KiswahiliIla ni mwandishi mzuri sana.
Asante sana mkuu, nilikuwa napenda sana somo la KiswahiliIla ni mwandishi mzuri sana.
Nilijua kubadilishana mawazo ya maishaWe ulijua mnaenda kusoma biblia gheto?
Huyu kijana ni mpambanaji ndiyo maana nilitamani awe rafiki ila nilivyoona tabia zake hizi sitaki tena mazoea nayeMwanamke Hawezi ata kukufanya rafiki kama huna kitu ndani yako.
Mwanamke mpk kakuita rafiki kuna vigezo umekidhi ambavyo kuptia hvyo vigezo ni rahisi kuwa mume kwake.
Shida sio Wewe shida ni kwa Jamaaa angu,alikurupuka sana DAY ONE badala hata aigizeeee utakatifu st tomas anashindwaaa
😂😂😂duh! Huo ubakaji sasa na ningepiga kelele ningemzalilishaUtakua kimbao mbao au nyee zili kukaa pia sema mwamba ali chelewa tu hesabu , hadi una pelekwa chumbani ndio una shtuka ,ili bidi ushtuke mboo ikiwa ndani
hamnaga hiyo kwa mwanaume akishasimamisha mnara wa babeliNilijua kubadilishana mawazo ya maisha
Nashukuru Kwa Kunielewa Mamii.....Sawa nimekuelewa mkuu
Hapo ataenda pewa mimba na kuzaa na dereva wa gari la halimashauri ambae amezaa na wanawake tofauti,atazaa na mume wa mtu mwenye ndoa yake, atazaa na dalali wa magari ambae hana pesa ila mikwara mingi na anatembea na magari ya wateja, atazaa, atazaa na mtu yoyote ambaye hayupo serious ili tu aje kusema wanaume ni mbwa,kumbe na yeye ni mbwa iliyokuwa inatafuta mbwa nyenzake huku inakwepa binadamu.Tatizo lenu Huwa hamjui kusoma wanaume. Huwa mnawanyima wanaowapenda kwa dhati na wenye malengo ya maana mnaenda kuwapa wajinga wajinga ambao mwisho wa sikunazaa na masanii yanayoishi maisha ya kuingiza. Ungempa tu huyo anaonekana alikuwa serious na alipnyesha viishara kwako ambavyo hukuvisoma
Consent inaanza ukishakubali mualiko.Usiende nyumbani kwa mwanaume kama si bwana ako, vinginevyo yakikukuta tutashindwa kukutetea.
😂😂😂😂😂_______Ndiyo mkuu sijui atafunguliwa lini, angekuwepo kwenye huu uzi angesikitika sana😂😂
Wifi Marry Diana hajambo?😂😂😂😂😂_______
________😂😅😅😅😂
Sijuwi.Wifi Marry Diana hajambo?
Au sioNdiyo mkuu nilikuwa kama mbogo
Hivi ni kwa nini mnashindwaga kujizuia?Kichwa Cha Chini Kikisimama, Cha Juu Hakifanyi Kazi
HayaSijuwi.
👍🏾Haya
Bora angekubaka ajenge heshima huoni asaivi unamtangaza angeila usingeweka uzi wapiMambo ya kubakana ya hovyo na ya kizamani sana
Kwahiyo unasapoti ubakaji?Bora angekubaka ajenge heshima huoni asaivi unamtangaza angeila usingeweka uzi wapi