Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

Nilimuamini nikaenda kwake akataka kunibaka

Heshima ya mwanamke ni dhahabu inyotafutwa na wengi.
lakini jitu jinga huitumia kama chombo cha kumalizia tamaa.
Hakika kuna wanaume halafu kuna wakiume.

Lakini je, ulimchukulia kama kaka?
Ulikuwa unamjua zaidi kwa tabia yake na si muonekano wake?

Lakini kumbuka hakuna urafiki kati ya watu wawili walio single na hakuna urafiki kama kuna mmoja hapati anachokitaka kwa mtu aliyenaye.

Niko around,
Ibn Unuq
Asante mkuu nimejifunza
 
Back
Top Bottom