Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 2,180
- 3,473
Ya mbeya si ndio mazuri hutumii mkaa mwingi au?? tena mboga ya haraka kama dagaaKwa ninavyomjua mdogo wangu huyu hacheki na yoyote lazima alimpa kipapa..!! 😹😹
Hapa anaogopa tu kusema tutamuona maharage ya Mbeya.