Mkuu habari ya asubuhi?
Jamaa amemuona nyoka kwenye rangi yake hasa
Chaguo ni lake
CC: Mjuni Lwambo !
hao madaktari wewe umewaona wapi...?Na hivi madaktari wengi hawajipendi (rough rough) muonekano wako ulimlazimisha akuulize wafanya kazi gani.
Ingukuwa smart (simaanishi kichwani) asingekuuliza angekuuliza kwa vitendo na kudeduce kuwa unazo au za kuunga na gundi ya mnyaa.
Mkuu iko hivi, kama unatafuta mke wa kuoa muigizie kwamba wewe ni hohehahe na kama una usafiri kwenye miadi usiende nao mpandishe daladala, akikuelewa hivyohivyo jua umepata waifu.
Lakini kama unahitaji kugegeda siku moja we jifanye millionare, kale mzigo halafu unamwachia buku tano tu unatembea, kuonana tena majaliwa.
Ndio maana mimi nimeamua kujikalia zangu parokiani na Husninyo wangu tukiwahudumia kondoo...lol!
CC: Himidini Mentor Heaven on Earth !
Inabidi uzoee mkuu, vinginevyo kama unataka wa kuoa usiende umevaa hiyo suti yako, atakubali tu kwa kuwa una kazi na siku ukifutwa kazi ndio mwisho wa mapenzi yenu.Mkuu nimekusoma!!!!!!!
Tatizo wengine hatujazoea kugegeda tu!
money money money its all about money okey !!!!
Inabidi uzoee mkuu, vinginevyo kama unataka wa kuoa usiende umevaa hiyo suti yako, atakubali tu kwa kuwa una kazi na siku ukifutwa kazi ndio mwisho wa mapenzi yenu.
^^
Ha ha bora wewe uko parokiani
Ila ni kweli ukitaka kuchelewa kuoa basi taja kazi ya chini... Mabinti wanatugeuza mitaji ukiwaambia professional status yako
^^
Mkuu wengi huzimika kama umeme wa Tanesco kila wakisikia hii habari
Ila nimeshajizoea maisha ya kukaa mwenyewe
Siwezi kuishi maisha ya kuigiza mie!
ulisahau kwamba uko mjini?
kwa hiyo umeendelea nae au na wewe ni kick, eat and run!?
Siku hizi nikiulizwa kazi na binti namuambia nauza karanga
Hii kadhia nilishakumbana nayo sana tu
Laiti wangekuwa wanajua.............!!!!!!!!!
money money money its all about money okey !!!!
Sio mchafu mchafu kama ..........?
Bwana natania tu, vya pombe ndio wanakuwaga wachafu.
Jamani kulikuwa na emergency ngapi? Nakumbuka enzi za mzee wangu, akiwa zamu alikuwa anafuatwa na dreva in case kuna operation au emergency. Siku hizi ikoje?
Ha,ha,ha.. Si ndo maana mie nikamwambia nauza duka la mhindi! Na leo amenitafuta ili tupige story