TCleverly
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,921
- 873
ni karibu mara tatu ya mshahara wa walezi wetu
.....and still u cant afford a "car"..........u have to borrow.....
ni karibu mara tatu ya mshahara wa walezi wetu
Kwanza aliekwambia Dr. wana hela ni nani? wenye hela hawasemi. Njoo nikuazime la kwangu maana kama dr. huna hata gari bado ni majanga.
Hawa jamaa hela wanapata. Katika public service ni moja ya kada zinazoanza na mshahara wa juu kidogo. Sema ni wagumu sana kuhonga kwani pesa yenye anaipata baada ya kuisotea sana. Chezea kulala macho wewe! Bahili sana madaktari.
umenifanya ni log-inn, kweli hawa wanawake ni mambumbumbu kabisa hawajui hat STK, DFP, SU SM zinamilikiwa na nani! pole yao sanaGari ndio uchawi wa mwisho kwa watoto wa mujini,wewe azima hata STK AU DFP Utawapata tena waambie yako
na TRA waongeze pato la taifa uchumi wa nchi ukueHawa ni hatari sana
Yaani utadhania mnauziana vile
Ni bora tuwe tunadai risiti aisee!!!!!!!
Unajua sikuelewi na huyo mchungaji.bwana asifiwe!
na TRA waongeze pato la taifa uchumi wa nchi ukue
Basi angekuwa hata na gari sio kwenda kuazima mkuu. Uongo sio kitu kizuri mkuu kumbuka na gari ataenda kumwambia mdada kuwa ni lake. Nahisi huyu dr. anaweza akawa ni yahaya.
Unajua sikuelewi na huyo mchungaji.
punguza wivu mpenzi.