Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Mimi iko poa poa sana
Leo nimefungua kinywa kwa ugali wa udaga na nswalu na kushushia na maji ya mtungini.....
Weye?
Niko kwa kitanda bado, ila nimekunywa juice ya embe.
Udaga na nswalu wapi na wapi? Mnyamwezi anakula udaga na nyama ya kuchoma au kamwiporu.