Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,670
Wanaogopa ya afrika ya kaskazini
Karibu sana JF ili kupata habari za ukweli na uhakika[/QUOTE]
hiyo slogan sijaipenda,..imekaa kiccm-ccm na kiTBC1
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
Asanteni kwa kunikaribisha, sehemu gani nzuri za kujivinjari humu?
Asanteni kwa kunikaribisha, sehemu gani nzuri za kujivinjari humu?
Jukwaa la wakubwa halifunguki.
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
utauona tu uchokozi, we tulia tu! kila kibaya kila kizuri kina ubaya wake, thanks
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?