Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
Karibu ndugu tupo wengi sana humu, wa chama chetu! UKWELI UNAUMA SANA MKUU, CCM IMECHOKA!
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
Karibu sana Suprise jamvini..Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
karibu sana JF ila hapo nilipo bold maneno sijui ulikuwa una maanisha niniJana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
Unapigia hodi wapi?
Asanteni kwa kunikaribisha, sehemu gani nzuri za kujivinjari humu?
Kumbe ni ya tangu 2006, halafu haifahamiki.
Asante makamu mwenyekiti wangu kwa kunifungua macho.
Jukwaa la wakubwa halifunguki.
Kwani kunaubaya gani watanzania wakiijua jamiiforums?
Jukwaa la wakubwa halifunguki.