acha uongo wewe, umejiunga leo masaa machache haya umeishasoma na kumaliza post zote?
unajua JF ina post ngapi hadi sasa? angalia statistics na usirudie tena kudanganya great thinkers!
Jukwaa la wakubwa halifunguki.
Mda umeniishia, kesho tutachati.
Asanteni.
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
wachama chetu, nimesema wachamachetu mkuu mimi na surprise!chama gani mkuu, unamaanisha jf ni chama?
Hapa hatuchati wewe.....Mda umeniishia, kesho tutachati.
Asanteni.
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
Hivi kulipia tangazo kwenye vyombo vya habari ni shilingi ngapi mpaka hii jamiiforumu inashindwa kujitangaza?
Wengi hawaijui kabisa.
Mr Msekwa said technological advancement that has led to invention of online social
networks such as blogs, facebook, YouTube and twitter have made easier for mobilising people and that the reforms within CCM will seek to cope with cyber dynamism.
He added that the increased number of educated Tanzanians as a result of expansion of secondary schools and higher learning institutions in the country has led to emergence of
knowledge society and entrenched use of social networks to share information.
"A vivid example is Jamii Forums (one of local online forums) which has been established
by youth belonging to Chadema that works to undermine CCM and the government," he said. The demographic structure of Tanzania in which almost two thirds of the country's 40 million people are youths, who are attracted to changes were among challenges that the party seeks to address, according to Msekwa.
Daily News | CCM raps anti-ruling party plots
JF inawafanya hawa wazee kuweweseka sana
Hapa hatuchati wewe.....
we vp? Kwani kusoma jf ndo kumaliza post zote yeye anamaanisha zile zilizotoka ivi punde mpaka msekwa aanze kulalama! Ivi kwa akili yako ukikutana na mtu anakwambia mi ni dr.bingwa wa binadamu anakuwa amefuzu kumtibu binadamu kwa kila gonjwa au? Au kama iyo kubwa,je ukikutana na mtoto aliyemaliza form6 akakwambia amemaliza shule,ni kweli shule imeisha au amefuzu alichotaka kufuzu,train you mind to think greatly mkuu!
Pius hanajifanya amjui adui wa chama chake?mzee amepotoka ucant avoid social netwok kwa maslai ya chama,inawezekana na yy yumo humu ila ndio hatumjui,makamu mkiti bado apange jinsi ya kukinusuru chama,anapambana na kivuri,kazi kwelikweli
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?