Nilidhani story, kumbe haya mambo yapo kabisa

Nilidhani story, kumbe haya mambo yapo kabisa

Za uzima,,

Sikukuu kwa upande wangu haikua nzuri kabisa,mpaka sasa sielew kama nilisherehekea pasaka au sikukuu ya wajing.Ni hivi nmesex na ndugu yangu kabisa bila mimi wala yeye kujua.Huyu jamaa nilikua namzimia tangu zamani sasa pasaka ya juzi ikawa imetukutanisha akaomba "out". Tukasafir kwenda kijijin kwa bibi yake ambako alipanga akasherehekee .Tulifika salama na usiku "tukalalana".Mambo yakabadilika kesho yke mida ya usiku wakati tumekaa na bibi huku wao wakizungumza kilugha ambacho mimi sikielew sana, kati kati ya mazungumzo naikamsikia bibi kataja jina fulani ,moyo ukanilipuka nikauliza ili kuhakikisha jamaa akajibu kua huyo mtu ni babu yake.a. Nikahisi presha ya ghafla kwani huyo mtu ni baba yangu mimi( sio mzazi).

Baadae nilimwambia jamaa na akathibitisha kua ni kweli ila akawa hana la kufanya.
unamwandiko wa kiume. ila pole sana
 
Hii nikweli ndugu au utunzi?
Kweli kbs. Walikutana night club dogo akazimikia flag akatupia ndoano ikanasa, wamekula na kunywa zao haooooo mgegedoni, fakamiana kisawasawa asubuhi mwanamke anamwambia ila we mtoto unayajulia ulijifunzia wapi na bado mdogo? Huku na kule kutambuana ayaaaa mtu na mama yake mdogo- ikabidi wapigane mikausho tu
 
Kweli kbs. Walikutana night club dogo akazimikia flag akatupia ndoano ikanasa, wamekula na kunywa zao haooooo mgegedoni, fakamiana kisawasawa asubuhi mwanamke anamwambia ila we mtoto unayajulia ulijifunzia wapi na bado mdogo? Huku na kule kutambuana ayaaaa mtu na mama yake mdogo- ikabidi wapigane mikausho tu
Mnabebana hata majina yenu hamjuani [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] watu wanapitia visanga vya ajabu jamani
 
Mnabebana hata majina yenu hamjuani [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] watu wanapitia visanga vya ajabu jamani
Dogo anakwambia aliyeyemeka kwa dakika kadhaa- Sema nae ni nunda sana na mama yake mdogo ndio balaa wee fikiria hadi leo hajaolewa ,hana mtoto wala nini na umri umeshamuenda sana tu
 
Kweli kbs. Walikutana night club dogo akazimikia flag akatupia ndoano ikanasa, wamekula na kunywa zao haooooo mgegedoni, fakamiana kisawasawa asubuhi mwanamke anamwambia ila we mtoto unayajulia ulijifunzia wapi na bado mdogo? Huku na kule kutambuana ayaaaa mtu na mama yake mdogo- ikabidi wapigane mikausho tu
Hahahaha, hii si mchezo
 
Dogo anakwambia aliyeyemeka kwa dakika kadhaa- Sema nae ni nunda sana na mama yake mdogo ndio balaa wee fikiria hadi leo hajaolewa ,hana mtoto wala nini na umri umeshamuenda sana tu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hajampata wakumuoa waoaji wenyewe ni shida
 
Na mradhi kwa staili hii wala hayataisha jamani
Maisha kitu yana misukosuko ya ajabu sana, vulituko, vitimbwi, visanga na kila aina ya visa. Binadamu akili zetu tunavozitumia tunajua wenyewe. Huwa nasema siku kuta za nyumba zikihadithia matukio tunayoyafanya tunapokuwa tumejifungia ndani aseeeeeee sijui ni nini tungeacha kuona hakiyanani lol!
 
Maisha kitu yana misukosuko ya ajabu sana, vulituko, vitimbwi, visanga na kila aina ya visa. Binadamu akili zetu tunavozitumia tunajua wenyewe. Huwa nasema siku kuta za nyumba zikihadithia matukio tunayoyafanya tunapokuwa tumejifungia ndani aseeeeeee sijui ni nini tungeacha kuona hakiyanani lol!
Yaani mpaka mtu aje kuolewa /kuoa mmmm mtihani bora zamani msichana akimaliza shule ni kuolewa lakini hivi mmm inabidi kujitahudi kwa watoto wetu
 
Kweli kbs. Walikutana night club dogo akazimikia flag akatupia ndoano ikanasa, wamekula na kunywa zao haooooo mgegedoni, fakamiana kisawasawa asubuhi mwanamke anamwambia ila we mtoto unayajulia ulijifunzia wapi na bado mdogo? Huku na kule kutambuana ayaaaa mtu na mama yake mdogo- ikabidi wapigane mikausho tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [HASHTAG]#mgegedoni[/HASHTAG] [HASHTAG]#fakamiana[/HASHTAG] kisawasawa...

Hii ilikua mbaya zaidi ila kwa nguvu ya penzi utakuta wanaomba tena kukumbushia game
 
Back
Top Bottom