Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,082
kwani wewe uwa unatangaza na nguo?ha ha ha! bujibuji tafadhali sana , huyu ni mtu mzima na familia..hata kama anaongea mambo ambayo pengine wewe kama msikilizaji hufurahishwi nayo..nafikiri si busara kumuanika kwa headline hiyoo..#mtazamo wangu!
ha ha ha! Bujibuji tafadhali sana , huyu ni mtu mzima na familia..hata kama anaongea mambo ambayo pengine wewe kama msikilizaji hufurahishwi nayo..nafikiri si busara kumuanika kwa headline hiyoo..#Mtazamo wangu!
kwani wewe uwa unatangaza na nguo?
mbona yule dada unayetangaza naye hotmix huwa anatangaza akiwa uchi kabisa tumeshamzoea tu.
kazi yake kubwa ni kuuliza leading questions, hasa akiwahoji wasanii wa bongolala movies.
mimi nakuona upo kama avatar yangu!kwani wewe huwa unaonaje??
mimi nakuona upo kama avatar yangu!
Hiyo T-Shirt ya mradi wa ICAP kupambana na Ukimwi sijui ni balozi wa mradi huo wa Wamarekani?.Nadhani atakuwa alivaa nguo kwa ajili ya kupiga picha tu........halafu akarejea kwenye kukaa uchi.........:whistle::whistle::whistle::whistle::whistle:
Sijaelewa.