Nilidhani huwa anatangaza akiwa UCHI

Nilidhani huwa anatangaza akiwa UCHI

kubwa jinga limekosa u-dc lisubiri udiwani wa viti maalum kule katavi
 
kwa kweli amesababisha kipindi cha jahazi kipungue mvuto.
 
e+kibonde.JPG

Kwani amevaa nguo ? Acheni kumuonea hebu ukiweza msikilize vizuri utabaini yuko uchi !
 
Mwacheni jamani mbona mnamuandama sana huyu jamaa bana? sasa mnataka yeye akale wapi? ni njaa tu inamsumbua!!!!! actually alitegemea japo ukuu wa wilaya kutoka kwa mkulu ila ndio hivyo bado akatoswa!!! so sad na jamaa ndio hivyo tena nngwe yake inamalizika masikini!!! ila jamaa ana domo chafu sana sijui hata familia yake huwa wanamuonaje anaporudi home!!! dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom