Afande awapa makavu wazazi: Maadili ya watoto wa Mlandizi yameporomoka sana chanzo nyie "mnacheza uchi mbele ya watoto"

Afande awapa makavu wazazi: Maadili ya watoto wa Mlandizi yameporomoka sana chanzo nyie "mnacheza uchi mbele ya watoto"

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,781
Reaction score
6,102
Maadili ya watoto wa Mlandizi yameporomoka sana, akibainisha kuwa "watoto wadogo wa shule ya msingi wanajua mambo ya k*******". Anahoji watoto wanapata wapi mambo hayo ikiwa sio kwa wazazi wao ambao wanafanya vitendo viovu na kuwaambukiza watoto.

"Nini maana ya shughuli? Shughuli ni kwenda kucheza uchi". Analalamika kuwa watu hawana aibu na wanacheza uchi mbele ya watoto huku wakivua madera.

 
Ndugu yangu sema tena na tena. Hlafu kuna watoto hapo. Nchi yetu imekwisha kila mtu anajipa mamlaka ya kukaripia wananchi. Polisi huyu mjinga sana. Ni nani kwanza amempa kazi ya kuhubiri maadili?
Hapo anakaripia au anatoa elimu? Kesi za watoto kulawitiwa zinapelekwa polisi, kwanini ashindwe kuzungumzia wakati ameona kuna kesi nyingi zinapelekwa ofisini kwake? Au kukemea tabia mbaya nchi hii imekua ni kosa? Nadhani kosa kubwa zaidi ni kukaa kimya wakati unaona kuna matendo yasio ya kimaadili yanafanyika kwenye jamii.
 
Hapo anakaripia au anatoa elimu? Kesi za watoto kulawitiwa zinapelekwa polisi, kwanini ashindwe kuzungumzia wakati ameona kuna kesi nyingi zinapelekwa ofisini kwake? Au kukemea tabia mbaya nchi hii imekua ni kosa? Nadhani kosa kubwa zaidi ni kukaa kimya wakati unaona kuna matendo yasio ya kimaadili yanafanyika kwenye jamii.
Umesikia lugha anayotumia mbele ya watoto? Unaafiki watoto wasikilize mazungumzo kama hayo? Haya mambo yana sehemu ya kuongelea na siyo kuwafanyia watoto unyama wa aina hiyo. Kwani hakuna lugha za kistaarabu ambazo zinatumika? Hivi baba yako akimwambia mama yako kaoshe ku*a yako mbele yako wewe utasema anamfundisha usafi hata kama ni mchafu?
 
Hapo anakaripia au anatoa elimu? Kesi za watoto kulawitiwa zinapelekwa polisi, kwanini ashindwe kuzungumzia wakati ameona kuna kesi nyingi zinapelekwa ofisini kwake? Au kukemea tabia mbaya nchi hii imekua ni kosa? Nadhani kosa kubwa zaidi ni kukaa kimya wakati unaona kuna matendo yasio ya kimaadili yanafanyika kwenye jamii.
Kutukana siku hizi ni kuelimisha jamii
 
Umesikia lugha anayotumia mbele ya watoto? Unaafiki watoto wasikilize mazungumzo kama hayo? Haya mambo yana sehemu ya kuongelea na siyo kuwafanyia watoto unyama wa aina hiyo. Kwani hakuna lugha za kistaarabu ambazo zinatumika? Hivi baba yako akimwambia mama yako kaoshe ku*a yako mbele yako wewe utasema anamfundisha usafi hata kama ni mchafu?
Mkuu, hiko ni kikao cha walimu, wazazi na polisi dawati la jinsia, hapo hakuna wanafunzi. Zipo familia nyingi watoto wa kike wanaingia kwenye uhuni kisa baba anaona aibu kuongea na binti yake au kutumia lugha fulani kwaio anakaa kimya. Kufichaficha mambo ni mwanzo wa watoto na wao kufanya mambo mabaya kwa kujifichaficha.
 
Mkuu, hiko ni kikao cha walimu, wazazi na polisi dawati la jinsia, hapo hakuna wanafunzi. Zipo familia nyingi watoto wa kike wanaingia kwenye uhuni kisa baba anaona aibu kuongea na binti yake au kutumia lugha fulani kwaio anakaa kimya. Kufichaficha mambo ni mwanzo wa watoto na wao kufanya mambo mabaya kwa kujifichaficha.
Nadhani hatujaelewana. Nimesema lugha anayotumia mbele ya watoto. Kama wewe huoni watoto hapo basi jaribu kutafuta miwani. This is not right mkuu. Huwezi kukemea mambo kwa mtindo huu. BTW huu ni unafiki wa sisi watu weusi tu ndiyo maana maisha yetu yako hivi. Mambo mengine yanamalizwa kwa elimu nzuri ya darasani na uchumi mzuri na siyo kukemea.
 
Watu wa Pwani na maadili wapi na wapi!
Salaam,
Japo ni kweli kimaadili pwani ni tatizo lakini hata hivyo issue ya maadili ni tatizo la nchi zima,

Kuna mila moja ipo uchagani hata leo ila wachaga ni wasiri kwenye mambo yao ya aibu,

Ipo hivi,
Ikiwa mzee wakichaga amezeeka sana,na hana mke kwasababu zozote zile, eidha awe amefariki ama wameachana.

Na mzee huyu awe na shida ya uzazi,eidha hatungidhi mimba kwa wakati huo kwa sababu zozote za kiafya,ama si rijali,

Ama kwasababu ni mzee sana kiasi cha mabinti hawawezi kumkubali pale atakapo watongoza,
Uchagani hufanyika hivi:

Mzee anamuachia kazi yakumtongoza binti kijana wake na kijana ataanza jilo zoezi,

Binti akisha kubali kuanza mahusiano kijana ataanza ku date nae mpaka pale atakaposhika mimba then,

Itafanyika mtego kijana atamuingiza binti kwenye chumba nyumbani kwao,

Pindi wawapo faragha tu kijana atatoka nje na mzee ataingia kwa binti na kumkuta humo akiwa kwenye mazingira hayo na kuanzia hapo binti na mimba inakua mali ya mzee,

Hivyo mzee ataanza kuishi na binti kama mkewe na mtoto atakae zaliwa anakua wa mzee,

Haya ni maadili mabaya ambayo hayafai,

Makabila kama wahaya, warangi,wagogo,na uwanda wote wa singida huko hakufai,

Ndugu zangu wasukuma wana ngoma inaitwa chagulagaa,

Ifike mahali hii issue ya maadili itazamwe vizuri
 
Back
Top Bottom