Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,920
- 3,753
mida hii nimetoka nje kwenda washroom.Ila cha ajabu nmemuona mwanamke akiwa uchi wa mnyama ameshikilia vifurush sijui anafanya nn. ile mbio nmerud ndan maana hayo mazingira magumu kinoma.nikawaita majiran wanisaidie il tuweze kumkamata. ila cha ajabu tumerud tukampata hayupo.ila nmeshuku kama sio mchaw n mwangaji.
ila kinachonshangaza kwan nn wanajidhalisha hivyo na kujisumbua hivyo.maana hii nchi kuna watu wanawaza tu mabaya kwa wengine.
ila hawaniwez wala sitikisiki mm silogek hata kidogo.
ila kinachonshangaza kwan nn wanajidhalisha hivyo na kujisumbua hivyo.maana hii nchi kuna watu wanawaza tu mabaya kwa wengine.
ila hawaniwez wala sitikisiki mm silogek hata kidogo.