Wakati habari juu ya babu huko Loliondo zinapumzika kidogo, naomba
> niwape na haya niliyoyasikia kwa masikio yangu kutoka redio Imani. Hii
> ni redio ya Waislamu ambayo inatangaza kutokea mkoa wa Morogoro. Sijui
> kama husikika nchi nzima au la. Hapa kwetu Arusha kulikuwa na
> kongamano kubwa la Waislamu wa madhehebu yote, jana Jpili na lilianza
> tangu asubuhi hadi jioni. Walikuwepo watoa mada mbalimbali, lakini
> mimi nilifanikiwa kumsikia mmoja, pamoja na immamu wa mkoa aliyetoa
> maazimio ya kongamano.Bila shaka magazeti yataripoti vizuri.
>
>
>
> Nimesukumwa kuandika tena kwa urefu kwani nilisikitika sana kusikia
> maneno ambayo sikuwahi kuyasikia tangu nizaliwe yakiongelewa hadharani
> ndani ya nchi yangu. Nakumbuka nilisoma maazimio ya Mwanza, lakini hii
> imenistua sana. Kama tunamwomba Mungu basi tuongeze nguvu, kama
> hatuombi basi tuanze. Kwa mtindo huu, ninawasiwasi na amani ya
> Tanzania ambayo tumejivunia miaka hamsini sasa. Mliopata neema ya
> kupata nafasi za juu serikalini, sijui serikali inayaonaje mambo haya.
> Hayajaanza leo, ila imeyaachia yaendelee. Makanisa yanazidi kuchomwa,
> hakuna msikiti uliwahi kuchomwa kama sijakosea. Wakristo wanavamiwa na
> kupigwa, hakuna mhadhara wa Waislamu uliwahi kuvamiwa. Redio Imani na
> magazeti ya Kiislamu (mfano Al-alnuur) yanazidi kumwaga sumu ya udini,
> na ubaguzi, na chuki, lakini sijawahi kusikia vyombo hivi vikikemewa.
> Huu, ukimya wa serikali na vyombo vyake, sijui maana yake ni nini?
> Sumu hii ikiishapandwa kuingoa ni kazi. Jamaa hawa walifanya mambo
> yao sirini tangu enzi za Mwinyi, na sasa, wameamua kuyaweka wazi na
> kuhamasisha Watanzania waziwazi tuuane. Haiingii akilini mwangu. Je,
> viongozi wetu wa dini wanazo taaarifa za kutosha kuhusu mambo haya?
> Wanachukua hatua gani? Je, sisi tuchukue hatua gani?
>
>
>
> Shehe Ilunga Hassan ndiye niliyeweza kumsikia. Ameongea mambo mengi,
> lakini yote ni ya kupandikiza chuki ndani ya Watanzania. Ameanza kwa
> kutoa pongezi kwa kile Waislamu walichokifanya huko Mto wa mbu
> (Arusha) kwa kuwapiga wachungaji, na kuwajeruhi, nk. Amesisitiza kuwa
> Tanzania inaongozwa na mfumo Kristo. Na sasa umefika wakati mfumo huo
> uondolewe na hiyo ndiyo itakuwa pona ya Waislamu. Serikali inaongozwa
> na maaskofu. Wao ndiyo wanaweza kumwambia rais tunataka hiki au la.
> Amesisitiza kuwa amani tunayoiona TZ ipo kwa gharama ya Waislamu.
> Umefika wakati Waislamu waseme basi kwa mfumo Kristo ili na Wakristo
> wabebe gharama ya amani hii.
>
>
>
> Ametoa takwimu kuwa mwaka 1992 Serikali iliingia mkataba na Wakristo,
> na tangu hapo imekuwa ikitoa fedha za kuwaendeleza wao huko Waislamu
> wakibaki nyuma. Kwa mfano, mwaka 2009, serikali imetoa bilioni 45,
> mwaka 2010 bilioni 54, na mwaka huu kwa miezi miwili hii na siku
> imekwisha toa bilioni 611, zote hizi zikiwa ni kuwaendeleza Wakristo.
>
>
>
> Wakati serikali ikifanya hayo yote, Waislamu wameachwa nyuma na watoto
> wao wamezidi kuwa wamachinga huku watoto wa Wakristo wakiendesha
> baiskeli za kizungu na kufurahia beach. Amesema ifike mahali Waislamu
> waamue kama walivyofanya Wahutu dhidi ya Watutsi.
>
> Ati Kikwete hawezi kuongoza nchi bila maaskofu, maana kila analotaka
> kufanya lazima awaone.
>
>
>
> Amesema kuwa Chama cha kususa na maandamano kipo tu kwa ajili ya
> maslahi ya Wakristo. Waislamu wanadanganywa wakidhani hicho chama kipo
> kuwatetea WaTz kumbe kipo kwa ajili ya Wakristo. Makafiri wanasaidiana
> wao kwa wao hivyo waislamu waamke, waungane hili kuuondoa mfumo
> Kristo. Amesema mfumo huu ulianza zamani,kwani hata 1964, Nyerere
> aliwafunga kina Chief Fundikira na wenzake kwakuwa walikuwa Waislamu.
> Akaendelea kuwa hata Azimio la Arusha lilikuwa kiini macho kwani
> liliwalenga Waislamu hata mali zilizotaifishwa zilikuwa za Waislamu
> Wahindi kwani wakati huo wakristo wengi walikuwa makarani na hawakuwa
> na chochote. Kwa hiyo Azimio lililenga kuwakandamiza Waislamu.
> Wakristo na mfumo wao wamekanyaga nyoka mkia, au wanamkamata nge
> mkia.
>
>
>
> Aliendelea kusema kuwa imefika sasa Waislamu kuongea lugha wanayoilewa
> makafiri kwani wao hawataelewa kama waislamu wataendelea kuongea kwa
> njia ya makongamano kama haya. Kuendelea kudai haki kwa njia hii ya
> mikutano na makaongamano ni kama mtu anayemwambia mbuzi lugha ya
> kibinadamu wakati hailewi. Mbuzi lugha yake ni kupigwa ndipo huelewa.
> Ndivyo walivyo makafiri. Ifike wakati waislamu waseme basi.
>
> Usilamu hauna historia ya kushindwa. Allah alikwisha wahaidi
> waisalamu ahela, hivyo wao wana kazi mbili tu, KUUA au KUUAWA, na
> ndipo watapata zawadi ya ahela. Hivyo ndivyo wanaweza kuuondoa mfumo
> Kristo.
>
>
>
> Akasisitiza kuwa huko Rwanda ilifika ambapo ilipotakiwa kuubadili
> mfumo, Mtusi na Mhutu hakuna aliyelala ndani, sasa Waislamu waseme
> basi. Akasema kuwa hata kama kunasemwa mabadiliko ya katiba, nayo
> hayatakuwa na maana kama bado kuna mfumo Kristo. Akasema kwa mfano
> waislamu wanabaguliwa hata kama katiba inakataza ubaguzi, hivyo, shida
> si katiba bali ni mfumo Kristo.
>
>
>
> Amesisitiza kuwa Waislamu hawana historia ya kushindwa hivyo hata sasa
> watashinda tu. Amekiponda sana chama cha kususa na maandamano
> akiwasihi Waislamu wasikiunge mkono.
>
>
>
> Jamani yamesemwa mengi, laiti ningekuwa mwanahabari ningeadika mengi.
> Kwa ufupi yule bwana amehamasisha chuki, uuaji, kuchukia CHADEMA, nk.
>
> Muda wote wafuasi walikuwa wakishangilia kwa TAKBIR! TAKBIR! Yaani
> kama angesema sasa tunaaza kazi nakwambia kungekuwa na balaa hasa.
>
>
>
> Ndugu zangu, inaonyesha hawa jamaa wamefanya mikutano,
>
> Dar es Salaam, Kigoma, Tabora, Mwanza, Shinyanga, Morogoro, Singida,
> na sasa Arusha. Wanaendelea hadi nchi nzima wakihamasisha haya na
> Waislamu kuungana na kuondoa tofauti za madhehebu yao kwani mfumo huu,
> unawaathiri wote.
>
>
>
> Baada ya hapo alikaribishwa Imamu wa mkoa wa Arusha naye akatoa
> maazimio ambayo yaligawanyika katika makundi mawili.
>
>
>
> 1. MAAZIMIO YA KITAIFA
>
> i) Wanaunga mkono maazimio yote yaliyotangulia kutolewa katika mikoa
> mingine
>
> ii) Wanaunga mkono tamko la Immam mkuu (Shehe Issa Bin Simba)- sasa
> dhuluma basi
>
> iii) Wanaitaka serikali kuangalia uwiano wa kimadaraka katika ngazi
> zote za serikali
>
> iv) Wanaiagiza Wizara ya Elimu ifuatilie na kuhakikisha waraka wa
> mavazi (hijabu,nk), na ibada kwa Waislamu wanafunzi inatekelezwa.
>
> v) Wanamtaka waziri wa fedha kuthibitisha uhalali wa mkataba kati ya
> Wakristo na Serikali wa mwaka 1992.
>
> vi) Wanasema suala la mahakama ya kadhi si ombi ila ni lazima
> litekelezwe na pia TZ ijiunge na OIC
>
>
> vii) Wanaagiza ubalozi wa Vatican uondolewe nchini
>
>
>
> 2. MAAZIMIO YA KIMKOA
>
> i) Halmashauri ya Arusha imepewa mwezi mmoja irudishe mali za Waislamu
>
> ii) Waislamu wapewe kibali kujenga msikiti katika kiwanja cha NHC
> kilicho karibu na Mahali pa Kumbukumbu ya Azimio la Arusha.
>
> iii) Mahali ilipo stendi ya daladala ni mali ya Waislamu, irudishwe
> mara moja
>
> iv) Kwa kuwa serikali ya JK ni halali kwa mujibu wa sheria, wanaoleta
> chokochoko waache mara moja.
>
> v) Waislamu wanamuunga mkono Meya wa jiji la Arusha kuwa alichaguliwa
> kihalali, na wanamtambua kwa nguvu zote. Aachwe afanye kazi. Wao
> hawatakuwa tayari kuona upuuzi huo wa kumpinga.
>
> vi) Kama Chadema itaandamana kama ilivyotoa taarifa ya siku 21, basi
> nao watatoka ili wapambane nao ili kujihami kwani maandamano
> yaliyopita yaliwaathiri
>
> vii) Wanamwagiza IGP amrudishe kazini yule askari aliyesimamishwa kazi
> kwa kuwakamata wachungaji huko mto wa mbu. Pia mkuu wa kituo
> aliyehusika kumsimamisha kazi achunguzwe na kushughulikiwa.
>
>
>
> viii) Waislamu wanasema sasa dhuluma basi.
>
>
>
> Ni hayo kwa ufupi jamani.
ALIYE ARUSHA ATUJUZE NI KWELI AU UONGO, TUZIDI KUSALI JAMANI
> niwape na haya niliyoyasikia kwa masikio yangu kutoka redio Imani. Hii
> ni redio ya Waislamu ambayo inatangaza kutokea mkoa wa Morogoro. Sijui
> kama husikika nchi nzima au la. Hapa kwetu Arusha kulikuwa na
> kongamano kubwa la Waislamu wa madhehebu yote, jana Jpili na lilianza
> tangu asubuhi hadi jioni. Walikuwepo watoa mada mbalimbali, lakini
> mimi nilifanikiwa kumsikia mmoja, pamoja na immamu wa mkoa aliyetoa
> maazimio ya kongamano.Bila shaka magazeti yataripoti vizuri.
>
>
>
> Nimesukumwa kuandika tena kwa urefu kwani nilisikitika sana kusikia
> maneno ambayo sikuwahi kuyasikia tangu nizaliwe yakiongelewa hadharani
> ndani ya nchi yangu. Nakumbuka nilisoma maazimio ya Mwanza, lakini hii
> imenistua sana. Kama tunamwomba Mungu basi tuongeze nguvu, kama
> hatuombi basi tuanze. Kwa mtindo huu, ninawasiwasi na amani ya
> Tanzania ambayo tumejivunia miaka hamsini sasa. Mliopata neema ya
> kupata nafasi za juu serikalini, sijui serikali inayaonaje mambo haya.
> Hayajaanza leo, ila imeyaachia yaendelee. Makanisa yanazidi kuchomwa,
> hakuna msikiti uliwahi kuchomwa kama sijakosea. Wakristo wanavamiwa na
> kupigwa, hakuna mhadhara wa Waislamu uliwahi kuvamiwa. Redio Imani na
> magazeti ya Kiislamu (mfano Al-alnuur) yanazidi kumwaga sumu ya udini,
> na ubaguzi, na chuki, lakini sijawahi kusikia vyombo hivi vikikemewa.
> Huu, ukimya wa serikali na vyombo vyake, sijui maana yake ni nini?
> Sumu hii ikiishapandwa kuingoa ni kazi. Jamaa hawa walifanya mambo
> yao sirini tangu enzi za Mwinyi, na sasa, wameamua kuyaweka wazi na
> kuhamasisha Watanzania waziwazi tuuane. Haiingii akilini mwangu. Je,
> viongozi wetu wa dini wanazo taaarifa za kutosha kuhusu mambo haya?
> Wanachukua hatua gani? Je, sisi tuchukue hatua gani?
>
>
>
> Shehe Ilunga Hassan ndiye niliyeweza kumsikia. Ameongea mambo mengi,
> lakini yote ni ya kupandikiza chuki ndani ya Watanzania. Ameanza kwa
> kutoa pongezi kwa kile Waislamu walichokifanya huko Mto wa mbu
> (Arusha) kwa kuwapiga wachungaji, na kuwajeruhi, nk. Amesisitiza kuwa
> Tanzania inaongozwa na mfumo Kristo. Na sasa umefika wakati mfumo huo
> uondolewe na hiyo ndiyo itakuwa pona ya Waislamu. Serikali inaongozwa
> na maaskofu. Wao ndiyo wanaweza kumwambia rais tunataka hiki au la.
> Amesisitiza kuwa amani tunayoiona TZ ipo kwa gharama ya Waislamu.
> Umefika wakati Waislamu waseme basi kwa mfumo Kristo ili na Wakristo
> wabebe gharama ya amani hii.
>
>
>
> Ametoa takwimu kuwa mwaka 1992 Serikali iliingia mkataba na Wakristo,
> na tangu hapo imekuwa ikitoa fedha za kuwaendeleza wao huko Waislamu
> wakibaki nyuma. Kwa mfano, mwaka 2009, serikali imetoa bilioni 45,
> mwaka 2010 bilioni 54, na mwaka huu kwa miezi miwili hii na siku
> imekwisha toa bilioni 611, zote hizi zikiwa ni kuwaendeleza Wakristo.
>
>
>
> Wakati serikali ikifanya hayo yote, Waislamu wameachwa nyuma na watoto
> wao wamezidi kuwa wamachinga huku watoto wa Wakristo wakiendesha
> baiskeli za kizungu na kufurahia beach. Amesema ifike mahali Waislamu
> waamue kama walivyofanya Wahutu dhidi ya Watutsi.
>
> Ati Kikwete hawezi kuongoza nchi bila maaskofu, maana kila analotaka
> kufanya lazima awaone.
>
>
>
> Amesema kuwa Chama cha kususa na maandamano kipo tu kwa ajili ya
> maslahi ya Wakristo. Waislamu wanadanganywa wakidhani hicho chama kipo
> kuwatetea WaTz kumbe kipo kwa ajili ya Wakristo. Makafiri wanasaidiana
> wao kwa wao hivyo waislamu waamke, waungane hili kuuondoa mfumo
> Kristo. Amesema mfumo huu ulianza zamani,kwani hata 1964, Nyerere
> aliwafunga kina Chief Fundikira na wenzake kwakuwa walikuwa Waislamu.
> Akaendelea kuwa hata Azimio la Arusha lilikuwa kiini macho kwani
> liliwalenga Waislamu hata mali zilizotaifishwa zilikuwa za Waislamu
> Wahindi kwani wakati huo wakristo wengi walikuwa makarani na hawakuwa
> na chochote. Kwa hiyo Azimio lililenga kuwakandamiza Waislamu.
> Wakristo na mfumo wao wamekanyaga nyoka mkia, au wanamkamata nge
> mkia.
>
>
>
> Aliendelea kusema kuwa imefika sasa Waislamu kuongea lugha wanayoilewa
> makafiri kwani wao hawataelewa kama waislamu wataendelea kuongea kwa
> njia ya makongamano kama haya. Kuendelea kudai haki kwa njia hii ya
> mikutano na makaongamano ni kama mtu anayemwambia mbuzi lugha ya
> kibinadamu wakati hailewi. Mbuzi lugha yake ni kupigwa ndipo huelewa.
> Ndivyo walivyo makafiri. Ifike wakati waislamu waseme basi.
>
> Usilamu hauna historia ya kushindwa. Allah alikwisha wahaidi
> waisalamu ahela, hivyo wao wana kazi mbili tu, KUUA au KUUAWA, na
> ndipo watapata zawadi ya ahela. Hivyo ndivyo wanaweza kuuondoa mfumo
> Kristo.
>
>
>
> Akasisitiza kuwa huko Rwanda ilifika ambapo ilipotakiwa kuubadili
> mfumo, Mtusi na Mhutu hakuna aliyelala ndani, sasa Waislamu waseme
> basi. Akasema kuwa hata kama kunasemwa mabadiliko ya katiba, nayo
> hayatakuwa na maana kama bado kuna mfumo Kristo. Akasema kwa mfano
> waislamu wanabaguliwa hata kama katiba inakataza ubaguzi, hivyo, shida
> si katiba bali ni mfumo Kristo.
>
>
>
> Amesisitiza kuwa Waislamu hawana historia ya kushindwa hivyo hata sasa
> watashinda tu. Amekiponda sana chama cha kususa na maandamano
> akiwasihi Waislamu wasikiunge mkono.
>
>
>
> Jamani yamesemwa mengi, laiti ningekuwa mwanahabari ningeadika mengi.
> Kwa ufupi yule bwana amehamasisha chuki, uuaji, kuchukia CHADEMA, nk.
>
> Muda wote wafuasi walikuwa wakishangilia kwa TAKBIR! TAKBIR! Yaani
> kama angesema sasa tunaaza kazi nakwambia kungekuwa na balaa hasa.
>
>
>
> Ndugu zangu, inaonyesha hawa jamaa wamefanya mikutano,
>
> Dar es Salaam, Kigoma, Tabora, Mwanza, Shinyanga, Morogoro, Singida,
> na sasa Arusha. Wanaendelea hadi nchi nzima wakihamasisha haya na
> Waislamu kuungana na kuondoa tofauti za madhehebu yao kwani mfumo huu,
> unawaathiri wote.
>
>
>
> Baada ya hapo alikaribishwa Imamu wa mkoa wa Arusha naye akatoa
> maazimio ambayo yaligawanyika katika makundi mawili.
>
>
>
> 1. MAAZIMIO YA KITAIFA
>
> i) Wanaunga mkono maazimio yote yaliyotangulia kutolewa katika mikoa
> mingine
>
> ii) Wanaunga mkono tamko la Immam mkuu (Shehe Issa Bin Simba)- sasa
> dhuluma basi
>
> iii) Wanaitaka serikali kuangalia uwiano wa kimadaraka katika ngazi
> zote za serikali
>
> iv) Wanaiagiza Wizara ya Elimu ifuatilie na kuhakikisha waraka wa
> mavazi (hijabu,nk), na ibada kwa Waislamu wanafunzi inatekelezwa.
>
> v) Wanamtaka waziri wa fedha kuthibitisha uhalali wa mkataba kati ya
> Wakristo na Serikali wa mwaka 1992.
>
> vi) Wanasema suala la mahakama ya kadhi si ombi ila ni lazima
> litekelezwe na pia TZ ijiunge na OIC
>
>
> vii) Wanaagiza ubalozi wa Vatican uondolewe nchini
>
>
>
> 2. MAAZIMIO YA KIMKOA
>
> i) Halmashauri ya Arusha imepewa mwezi mmoja irudishe mali za Waislamu
>
> ii) Waislamu wapewe kibali kujenga msikiti katika kiwanja cha NHC
> kilicho karibu na Mahali pa Kumbukumbu ya Azimio la Arusha.
>
> iii) Mahali ilipo stendi ya daladala ni mali ya Waislamu, irudishwe
> mara moja
>
> iv) Kwa kuwa serikali ya JK ni halali kwa mujibu wa sheria, wanaoleta
> chokochoko waache mara moja.
>
> v) Waislamu wanamuunga mkono Meya wa jiji la Arusha kuwa alichaguliwa
> kihalali, na wanamtambua kwa nguvu zote. Aachwe afanye kazi. Wao
> hawatakuwa tayari kuona upuuzi huo wa kumpinga.
>
> vi) Kama Chadema itaandamana kama ilivyotoa taarifa ya siku 21, basi
> nao watatoka ili wapambane nao ili kujihami kwani maandamano
> yaliyopita yaliwaathiri
>
> vii) Wanamwagiza IGP amrudishe kazini yule askari aliyesimamishwa kazi
> kwa kuwakamata wachungaji huko mto wa mbu. Pia mkuu wa kituo
> aliyehusika kumsimamisha kazi achunguzwe na kushughulikiwa.
>
>
>
> viii) Waislamu wanasema sasa dhuluma basi.
>
>
>
> Ni hayo kwa ufupi jamani.
ALIYE ARUSHA ATUJUZE NI KWELI AU UONGO, TUZIDI KUSALI JAMANI