Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
nimefuatilia JF kwa mda mrefu sasa, nimekuwa nikiipenda kwa kuwa nimekuwa nikipata taaria za kina. Pia namna gani tutaweza kuleta mageuzi na mwanzo mpya wa nchi yetu iliyoharibiwa. Lakini kwa staili hii ciamini kama hayo tunayoyataka tutaweza kuyafikia kwa haya niyaonayo humu.
Kwanza, wachangiaji wengi wa JF linapokuja suala kama hili linalohusu imani, kunatokea mgawanyiko, wana jf ambao wengi ndio chadema tunajiita sisi, na ndio tunaegemea katika hoja ya kupinga yale ambayo yanahusu imani waislam. Ninachokiona hapa ni kwamba, hawa waislamu ambao na wao wanapigika na hali ngumu ya maisha watapata na wasi wasi juu ya michango yetu humu. Pia na wale waislam waliokuwa wana tusupport tutawapoteza.
Kama ni kweli chadema tunajua na tunataka support ya waislamu, tuungane nao na kuwapa support kwa yale wanayodai kwamba ni haki zao.
Mfano, kama ni kweli wameporwa eneo, chadema isaidie kujua kama kuna ukweli na kusaidia waliodhurumiwa kama raia na c imani, kupata haki yao. Kama kweli wakristu wamewepa hayo mabilioni, cha dema inatakiwa kuhoji kama kweli haisupport upande wowote wa imani
tupunguze jazba katika kuzungumza haya mambo. Kama kila mtu akichangia kwa kusema waislamu hawana shule, mambumbumbu, maana yake ni kwamba wakristu ni waelevu na ndio wanafaa kwa kila kitu, tutakuwa tujenga ama tunarudi pale pale waislamu wanapoholi kwamba wamenyimwa haki ya kupewa elimu? Kwani jukumu la kutoa elimu ni la serikali.
Kwanza, wachangiaji wengi wa JF linapokuja suala kama hili linalohusu imani, kunatokea mgawanyiko, wana jf ambao wengi ndio chadema tunajiita sisi, na ndio tunaegemea katika hoja ya kupinga yale ambayo yanahusu imani waislam. Ninachokiona hapa ni kwamba, hawa waislamu ambao na wao wanapigika na hali ngumu ya maisha watapata na wasi wasi juu ya michango yetu humu. Pia na wale waislam waliokuwa wana tusupport tutawapoteza.
Kama ni kweli chadema tunajua na tunataka support ya waislamu, tuungane nao na kuwapa support kwa yale wanayodai kwamba ni haki zao.
Mfano, kama ni kweli wameporwa eneo, chadema isaidie kujua kama kuna ukweli na kusaidia waliodhurumiwa kama raia na c imani, kupata haki yao. Kama kweli wakristu wamewepa hayo mabilioni, cha dema inatakiwa kuhoji kama kweli haisupport upande wowote wa imani
tupunguze jazba katika kuzungumza haya mambo. Kama kila mtu akichangia kwa kusema waislamu hawana shule, mambumbumbu, maana yake ni kwamba wakristu ni waelevu na ndio wanafaa kwa kila kitu, tutakuwa tujenga ama tunarudi pale pale waislamu wanapoholi kwamba wamenyimwa haki ya kupewa elimu? Kwani jukumu la kutoa elimu ni la serikali.