Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Huwez peleka fiesta Chuga..utaishia kupata hasara...kule hakuna mwamko wa burdani
Watu wana mwamko wa hatari. Shida wasanii wenu uchwara wanakuja na play-back badala ya live. Arusha watu hawashobokei majina wanaangalia uwezo. Muulize nature yaliyomsibu, muulize Ay anavyoenjoy akiwa A city.
 
ile ilitua kwa dharura, ndo maana wale abiria walipelekwa kia wakapewa ndege nyingne. ndege ilipaa ikiwa tupu. uwanja uliopo ni mdogo., uzuri wake Arusha na Kia co mbali!??
Sio dharura as such, rubani alidhani ametua KIA. Sasa alipotaka kupiga kona kama wanavyofanya KIA akashtukia runaway imeisha.
 
Mkuu umetumia vigezo gani kujua sina hela kuna sehemu inauza soda zaidi ya elfu kumi? Ndyo nyie msiyojua kwamba kutembelea mbuga au milima gharama zake ni elfu kumi, unajifungia kwenye kichupa na kuogopa kwenda hata tarangire ukijua watakucharge dola kama wazungu, acha ujuha
Kwa hiyo wewe ulitumia elfu kumi kwenda tarangire.? Ulienda kwa miguu nini ? Maana hicho ni kiingilio cha getini tu na kimeshapanda kwa taarifa yako. Ulifikajefikaje huko ? Ulilala ? Ulikula ? Au Ulifika tu ukageuza ?

Tumia chapaa uijue Arusha.
 
Hata hii baridi na vumbi navyo ni sehemu ya mafunzo, semeni ukweli upinzani kuishika Arusha, serikali kuu imeingiza mikono kwenye sweta lengo ikiwa ni kuwasomesha namba kwa nini mmewapa upinzani, ila kwa jinsi mlivyo wabishi mtaribishia ili
Arusha watu sio walaini na wana maamuzi halisi, hakuna unafiki wala singeli. Ujinga wa viongozi kuzuia maendeleo kisa upinzani na wewe unashabikia inahuzunisha sana. Bill Clinton alimpa Colin powel cheo kikubwa bila kujali chama. Mnataka tupate maendeleo huku mkishabikia ubaguzi.

Aibu tupu.
 
Hukuelewa hiyo stand ilikuwa siku ya mwanzo observation, hata nyumba utaijua tu mara ufikapo jikoni au sebuleni, ila mambo mengine mpo vizuri, ila inaonekana idara ya mipango mji hawapo sereous, jiji ulikuwa unaingia kwa bara bara mmoja sasa hivi ndyo wamekurupuka wanajenga, kwani zile hela za Marekani za kujengea mabara bara hazikuwahusu,?
Manyan'gau walizitafuna.
 
Kwa hiyo wewe ulitumia elfu kumi kwenda tarangire.? Ulienda kwa miguu nini ? Maana hicho ni kiingilio cha getini tu na kimeshapanda kwa taarifa yako. Ulifikajefikaje huko ? Ulilala ? Ulikula ? Au Ulifika tu ukageuza ?

Tumia chapaa uijue Arusha.
Inazidi laki
Kwa hiyo wewe ulitumia elfu kumi kwenda tarangire.? Ulienda kwa miguu nini ? Maana hicho ni kiingilio cha getini tu na kimeshapanda kwa taarifa yako. Ulifikajefikaje huko ? Ulilala ? Ulikula ? Au Ulifika tu ukageuza ?

Tumia chapaa uijue Arusha.
Chapaa gani ushuzi
 
Arusha watu sio walaini na wana maamuzi halisi, hakuna unafiki wala singeli. Ujinga wa viongozi kuzuia maendeleo kisa upinzani na wewe unashabikia inahuzunisha sana. Bill Clinton alimpa Colin powel cheo kikubwa bila kujali chama. Mnataka tupate maendeleo huku mkishabikia ubaguzi.

Aibu tupu.
Unafananisha mbingu na ardhi
Manyan'gau walizitafuna.
 
Tunatofautiana kimitazamo na vipaumbele..nimewahi kuwa Arusha..binafsi sijapapenda kukaa..Jiji ambalo bado sijafika na linasifiwa ni Mwanza..nafikiri nikifika huko nitapata cha kuzungumza.. na safari ya kwenda huko nitaifanya hivi karibuni..ni ya kwenda kutembea tu na kula sato na sangara mana nasikia wanapungua kwa kasi sana ziwani..
 
Duh watu mmeleta mahaba tu hapa hakuna asiejua kama arusha ni kuzuri, again arusha ni pazuri mnooo ila kwanini stand ipo vile ,kwanini hakuna kiwanja cha ndege cha maana?

Tuache kujifanya wajanja, KIA kiko 50km from Arusha town, then unataka kujenga kiwanja cha ndege? Kwani viwanja vya ndege vimekuwa stend za daladala mpaka kila sehemu ziwepo?!
Wakazi wa Arusha mnatakiwa kulalamikia barabara za mitaa sio kiwanja cha ndege
 
Hadi Dom! umezingatia zaidi matei lounge, maisha, rainbow na wale wanasiasa wanaojikusanya bila kuonekana live kwenye kimjengo chao
Dom imekuja juu sana baada ya kujengwa UDOM na hizo barabara za IRINGA, SINGIDA na KONDOA! Imekuwa kwa haraka zaidi na hili la kuihamishia serikali huko ndo utasababisha mji ufurike
 
Back
Top Bottom