Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
Sasa kiwanja cha ndege kipo KIA km14 tu kutoka arusha mjin unataka kiwanja kingine cha nini?Duh watu mmeleta mahaba tu hapa hakuna asiejua kama arusha ni kuzuri, again arusha ni pazuri mnooo ila kwanini stand ipo vile ,kwanini hakuna kiwanja cha ndege cha maana?
Kile cha kisongo kinatosha kwa ajili ya ndege za kawaida
Yaani nimekufatilia post zako unabishana kishamba sana
