MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,888
Ahsante kwa matusi lakini si mapya kuliko nilivyotukanwa katika miaka yangu sabini ya maisha.Nadhani wewe ndo mjinga kuliko badala uje na point zako unakuja kunijadili mie ,Lumumba Lumumba unadhani kila alie against ni mfuasi wa hizo siasa uchwara ovyooo
Kwani ni uongo Arusha haitegemei uwanja wa KIA? au hicho kiuwanja cha kisongo ni cha dingi ako make umekua mkali kama umekalia kitu chenye ncha Kali
Huna hoja kama ni ushabiki Arusha siyo level yako wala ya unaowashabikia. Imewashinda waliokutuma wanakutumia.
Nakupa hongera kwa tusi "umekua mkali kama umekalia kitu chenye ncha Kali" ndiyo malezi uliyolelewa na elimu ya mafanikio ya chama dola.
Naomba tusi lingine.