Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua kuhusu Arusha

Hata ukitoa mapovu huwezi linganisha Arusha na miji mingi tz ukitoa Dar na Mwanza. Hata hayo majiji bado yana mambo mengi yanayozidiwa na Arusha.
 
Club AQ, bado ipo? Asma wa AQ nimekumiss.
 
Huna hela halafu unautaka uzuri wa ARUSHA? Baki Dar kama huna hela,huku "Hasara roho pesa makaratasi" Ishia hapohapo stand
 
Mtu anayekuja Arusha anasema Arusha si pazuri anashida zake tu, hajiu lolote kuhusu A City. Umekuja Arusha kufanya nini? Unachapaa kwenda sehemu nzuri? Kumbuka mgeni yeyote mtalii anaweza zunguka Tz lakini akifika Arusha anajua amefika sehemu ya kipekee Tz. Kuanzia hotels, hali ya hewa, watu wake and everything.

Tatizo watanzania wengi wanaotoka mikoa isiyo ya kitalii ni "washamba" na hawajui lolote kuhusu lifestyle ya Arusha na uzuri wake. Hii ndio sababu kuu. Watu wa Arusha ni kama Nairobi....no nonsense type.

Arusha all day everyday
Haha baelezee wamezoea uko dar kwenye jam na mitakataka ya kila aina
 
Back
Top Bottom